Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Messi, Aguero waikamata Ulaya kwa mabao

 Ulikuwa usiku wa kipekee kwa nyota wa Argentina baada ya Lionel Messi na Sergio Aguero walipoitikisa Ulaya kwa mabao yao matatu ‘hat-trick’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Aguero afunga mabao matano dakika 20

Sergio Aguero amefunga mabao matano wakati Manchester City ikifufuka kutoka katika vipigo na kuifumua Newcastle 6-1 kwenye Uwanja wa Etihad na kurudi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu England (kabla ya mechi ya Manchester United na Arsenal jana).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aguero: Messi atatupa ubingwa wa Dunia

MSHAMBULIAJI wa Manchester City ya England, Sergio Aguero amesema kwamba yuko fiti na tayari kwa ushitikiano hatari na nyota wa FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi, kuongoza jaribio la timu...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

From Aguero to Messi: The 10 most-watched football goals on YouTube

From Aguero to Messi: The 10 most-watched football goals on YouTube  GIVEMESPORT

 

10 years ago

Vijimambo

FC BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KWA JUMLA YA MABAO 5-3

Timu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani usiku wa kuamkia leo wameshuhudia wakishindwa kufuzu kucheza fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya baada ya kujikuta wakiondolewa na FC Barcelona kwa jumla ya mababo 5-3. 
Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Allianz Arena uliofurika mashabiki wenye pumzi ya kushangilia bila kuchoka, Bayern waliokuwa na kibarua cha kuifunga Barcelona mabao 4-0 ili wasonge mbele hatua ya fainali, walijikuta wakimaliza dakika 90 za mchezo huo wakiwa na ushindi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Messi amefunga mabao 400

Mshambulizi wa Barcelona amesajili historia kwa kufunga mabao 401 .

 

9 years ago

MillardAyo

Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City …

Staa wa kimataifa wa Argentina anayekipiga katika klabu ya Manchester City, Sergio Kun Aguero amekiri kuwa angependa kumuona mshambuliaji wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi akijiunga na Manchester City japokuwa anaamini sio rahisi kufanya uamuzi huo. Ni zaidi ya mara mbili Lionel Messi anahusishwa kuhitajika na Man City, hata siku za […]

The post Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City … appeared first on...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 24.05.2020: Pogba, Sancho, Aguero, Willian, Koulibaly, Rabiot

Wakala wa Paul Pogba Mino Raiola ameanza mazungumzo na Juventus kuhusu uhamisho, lakini Real Madrid na Paris St-Germain pia wanamtolea macho kiungo huyo wa Machester United

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumanne 10.03.2020: Grealish, Bellingham, Lingard, Willian, Zakaria, Aguero

Manchester United inapanga uhamisho wa dau la £100m kumsajili kiungo wa kati wa Aston Villa mwisho wa msimu huu Jack Grealish, 24, na kinda wa Birmingham 16- Jude Bellingham. (Star)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 15.04.2020: Griezmann, Martinez, Kane, Coutinho, Niguez, Aguero, Haaland

Inter Milan inamtaka mshambuliaji wa Ufaransa Antoine Griezmann, 29, kubadilishana na mshambuliaji Lautaro Martinez ikiwa Barcelona itammyakua kiungo huyo wa Argentina wa miaka 22 kutoka kwao. (La Gazzetta dello Sport, via Marca)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani