Messi amefunga mabao 400
Mshambulizi wa Barcelona amesajili historia kwa kufunga mabao 401 .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Messi, Aguero waikamata Ulaya kwa mabao
 Ulikuwa usiku wa kipekee kwa nyota wa Argentina baada ya Lionel Messi na Sergio Aguero walipoitikisa Ulaya kwa mabao yao matatu ‘hat-trick’.
10 years ago
Bongo526 Aug
M2 The P achora tattoo mpya ya Mangwea, asema amefunga ukurasa wa kumzungumzia
Rapper M2 The P amechora tattoo mpya ya rafiki yake marehemu Albert Mangwea, na kudai kuwa tattoo hiyo ni ishara ya kufunga ukurasa wa kumzungumzia baada ya kumweka mwilini mwake. Akizungumza na Bongo5, M2 The P amesema aliwaahidi mashabiki kuwa atachora tattoo ya rafiki yake huyo ili abaki mwilini mwake milele. “Tatoo ni deni, kwa […]
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D4Sunv6xDK4/VfXM_LTwVtI/AAAAAAAH4cQ/pTYdtCiLOOc/s72-c/ABS_8372.jpg)
MFANYABIASHARA MASHUHURI DEOGRATIUS KILAWE AMEFUNGA PINGU ZA MAISHA NA ANABAHATI MLAY.
![](http://2.bp.blogspot.com/-D4Sunv6xDK4/VfXM_LTwVtI/AAAAAAAH4cQ/pTYdtCiLOOc/s640/ABS_8372.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wWYqp2e3cjg/VfXNEN-bpHI/AAAAAAAH4cY/4YUJgPYk1AQ/s640/ABS_8381.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PEkhOs4a1WA/VfXMyQAzTSI/AAAAAAAH4b4/llwm4Fx8pJY/s640/ABS_8345.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
5 years ago
MichuziMatukio Katika Picha: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefunga Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39e8N-3OHhMIEnoOPXfjgPbQe4NNq2ta28oPA4ch6CkryGSQEIQIA4aMn6zDZcHoeB7XlTEj1RVYdnZEUQ4pwOjv/luissuarez.jpg)
SUAREZ BINGWA WA MABAO!
LICHA ya Liverpool kukosa ubingwa, lakini nyota wao Luis Suarez ametwaa kiatu cha mfungaji bora kwa kumaliza na mabao yake 31 akifuatiwa na Daniel Sturidge naye pia wa Liver mwenye mabao 21.
10 years ago
Mwananchi14 Apr
‘Maombi yamenipa mabao’
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman amesema siri ya kuwa katika kasi ya ufungaji kwa sasa inatokana na maombi anayofanya kila siku.
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Lowassa: Nifungieni mabao 3-0
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa amesema ili kupata ushindi Oktoba 25, anahitaji kupata ushindi wa mabao matatu bila, akimaanisha Ukawa ipate rais, wabunge na madiwani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWSyni*XgmxgOuy*BOg7Z7dYc6xBVyXcozVtntfjTYlFC4YrpIvsEsbLgHEOu0vfGC*5tFGCyD9wI-axWWuzDGqZ/loga.jpg)
Logarusic aja na mabao...
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Wilbert Molandi
KATIKA kuhakikisha timu yake inafunga mabao mengi katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amekuja na mbinu mpya kwenye kikosi chake.Kocha huyo ambaye raia wa Croatia, alianza kutoa mbinu hizo juzi Alhamisi kwenye mazoezi yake yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Ununio, Boko jijini Dar es Salaam. Kwenye mazoezi hayo, kocha huyo aliwapa...
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Lewandowski avunja rekodi ya mabao
Robert Lewandowski ameweka rekodi ya mabao matano yaliyofungwa kwa kasi zaidi na mchezaji mmoja Bundesliga.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania