Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Nifungieni mabao 3-0

Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa amesema ili kupata ushindi Oktoba 25, anahitaji kupata ushindi wa mabao matatu bila, akimaanisha Ukawa ipate rais, wabunge na madiwani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”


HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Maombi yamenipa mabao’

Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman amesema siri ya kuwa katika kasi ya ufungaji kwa sasa inatokana na maombi anayofanya kila siku.

 

11 years ago

GPL

SUAREZ BINGWA WA MABAO!

LICHA ya Liverpool kukosa ubingwa, lakini nyota wao Luis Suarez ametwaa kiatu cha mfungaji bora kwa kumaliza na mabao yake 31 akifuatiwa na Daniel Sturidge naye pia wa Liver mwenye mabao 21.

 

11 years ago

GPL

Logarusic aja na mabao...

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Wilbert Molandi
KATIKA kuhakikisha timu yake inafunga mabao mengi katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amekuja na mbinu mpya kwenye kikosi chake.Kocha huyo ambaye raia wa Croatia, alianza kutoa mbinu hizo juzi Alhamisi kwenye mazoezi yake yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Ununio, Boko jijini Dar es Salaam. Kwenye mazoezi hayo, kocha huyo aliwapa...

 

10 years ago

GPL

Tambwe: Mabao zaidi yanakuja

Straika wa Yanga, Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
STRAIKA wa Yanga, Amissi Tambwe, ndiye gumzo hivi sasa katika soka la Tanzania baada ya mabao yake mawili kuipa timu yake ushindi wa 2-0 dhidi ya BDF XI lakini kitu kikubwa ni kwamba, muda mfupi tu baada ya kuwaua Wabotswana hao, klabu yake imempatia nyumba. Tambwe alifanikiwa kufunga mabao hayo katika mchezo wa Kombe la Shirikisho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe aanika siri ya mabao

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ametoa siri ya safu ya ushambuliaji ya timu hiyo kufanya vyema kwenye mechi mbalimbali za hivi karibuni.

 

10 years ago

Habarileo

Ndabila awazia mabao Lipuli

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Tanzania Prisons na Moro United, Yona Ndabila amesema wamepania kuirejesha Lipuli ya Iringa kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara msimu ujao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yajiimarisha kwa mabao

Bao la kwanza la mchezaji Nicklas Bendtner tangu Machi mwaka 2011, lilisaidia Arsenal, kuicharaza Hull mabao 2-

 

11 years ago

Mwananchi

Mabao ya Bale yainusuru Wales

Mkwaju wa adhabu uliopigwa katika dakika ya mwisho na Gareth Bale uliipa Wales ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Andorra, katika mchezo wa michuano ya kuwania tiketi ya kucheza fainali zijazo za Mataifa ya Ulaya, Euro 2016.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani