Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal yajiimarisha kwa mabao

Bao la kwanza la mchezaji Nicklas Bendtner tangu Machi mwaka 2011, lilisaidia Arsenal, kuicharaza Hull mabao 2-

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

UDA yajiimarisha kwa kuzindua mabasi mapya 175

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA), limezindua mabasi mapya 175, katika mchakato wake wa uboreshaji wa shirika hilo lililofikisha miezi mitano tangu kufufuliwa upya.

 

10 years ago

Mwananchi

Messi, Aguero waikamata Ulaya kwa mabao

 Ulikuwa usiku wa kipekee kwa nyota wa Argentina baada ya Lionel Messi na Sergio Aguero walipoitikisa Ulaya kwa mabao yao matatu ‘hat-trick’.

 

10 years ago

GPL

Okwi awashukuru... Yanga kwa mabao matatu

Mhambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI nyota wa Simba, Emmanuel Okwi, amesema sare mfululizo ziliwafanya yeye na wenzake kukosa usingizi kila kabla na baada ya mechi.Lakini amewashukuru mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wanamzomea kuwa wamemsaidia kucheza kwa juhudi zaidi na kufanikiwa kufunga mabao matatu katika mechi saba za Ligi Kuu Bara. Okwi ndiye alifunga bao pekee wakati Simba...

 

5 years ago

CCM Blog

YANGA KIDEDEA UWANJA WA TAIFA KWA KUICHAPA MABAO FC 2-0

  Yanga imefanikiwa kunyakua pointi tatu baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Magoli ya Yanga yalifungwa na David Molinga dakika ya 28 kwa mkwaju wa penati na jingine likifungwa na Patrick Sibomana dakika ya 82.

FT: Yanga SC 2-0 Mbao FC.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo

Yanga iliyo katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi inaikabili Ndanda ya Mtwara leo na ikihitaji mabao mengi ambayo yataiweka kileleni mwa Ligi Kuu. Klabu hiyo imetamka kuwa ingetaka ishinde kwa mabao mengi leo dhidi ya Ndanda kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Winga Simon Msuva amewataka wenzake kucheza kwa nguvu, kujituma ili kuhakikisha wanapiga mabao hayo dhidi ya wageni hao kutoka Mtwara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanesco yajiimarisha

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) kwa kushirikiana na Serikali ya Norway, linatarajia kufanya ukarabati wa vituo vitano vya uzalishaji umeme ili kuongeza kiwango cha uzalishaji wa nishati hiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC YAKUBALI KICHAPO CHA MABAO 2 - 1 KUTOKA KWA SIMBA

 Kikosi cha Azam FC kilichoanza leo. (Picha na Francis Dande)Kikosi cha Simba.Waamuzi wa mchezo wa Simba na Azam wakiwa katika picha ya pamoja na manahodha wa timu zote kabla ya mchezo. Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe akichuana na mshambuliaji wa Simba, Said Ndemla.
Himid Mao akijaribu kumzuia Said Ndemla wa Simba.mshambuliaji wa Simba, Said Ndemla akimtoka Himid Mao. Emmanuel Okwi akichuana na beki wa Azam FC, Agrey Moris.Agrey Moris na akichuana na Emmanuel Okwi. Kocha wa Simba, Goran...

 

10 years ago

Vijimambo

FC BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KWA JUMLA YA MABAO 5-3

Timu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani usiku wa kuamkia leo wameshuhudia wakishindwa kufuzu kucheza fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya baada ya kujikuta wakiondolewa na FC Barcelona kwa jumla ya mababo 5-3. 
Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Allianz Arena uliofurika mashabiki wenye pumzi ya kushangilia bila kuchoka, Bayern waliokuwa na kibarua cha kuifunga Barcelona mabao 4-0 ili wasonge mbele hatua ya fainali, walijikuta wakimaliza dakika 90 za mchezo huo wakiwa na ushindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani