Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco yajiimarisha

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) kwa kushirikiana na Serikali ya Norway, linatarajia kufanya ukarabati wa vituo vitano vya uzalishaji umeme ili kuongeza kiwango cha uzalishaji wa nishati hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yajiimarisha kwa mabao

Bao la kwanza la mchezaji Nicklas Bendtner tangu Machi mwaka 2011, lilisaidia Arsenal, kuicharaza Hull mabao 2-

 

10 years ago

BBCSwahili

Google yajiimarisha kupitia Alphabet

Kampuni ya Google imeanzisha kampuni nyengine kwa jina Alphabet.

 

9 years ago

Habarileo

JKU yajiimarisha ligi ya Zanzibar

LIGI Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja iliendelea tena juzi kwa kupigwa mechi mbili tofauti kwenye uwanja wa Amani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yajiimarisha kileleni ligi kuu

Timu ya Chelsea imezidi kujichimbia kileleni mwa ligi kuu ya England baada ya kujikusanyia pointi 63

 

10 years ago

Dewji Blog

Chadema yajiimarisha yaendesha mikutano ya mafunzo Singida

 DSC05413

Mkurugenzi wa organization na mafunzo CHADEMA Taifa, Benson Kigaila, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye uwanja wa Peoples mjini Singida  ukiwa na lengo na kuzindua mafunzo yanayoendelea kutolewa nchini kote na chama hicho, kujiimarisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu.

DSC05411

DSC05401

Baadhi ya wanaCHADEMA na wananchi wa mji wa Singida, waliophudhuria mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kumsikiliza mkurugenzi wa organization na mafunzo wa...

 

11 years ago

Habarileo

UDA yajiimarisha kwa kuzindua mabasi mapya 175

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA), limezindua mabasi mapya 175, katika mchakato wake wa uboreshaji wa shirika hilo lililofikisha miezi mitano tangu kufufuliwa upya.

 

10 years ago

Michuzi

STAMICO YAJIIMARISHA KATIKA KULETA MABADILIKO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI YA MADINI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Taifa la Madini (Stamico),Zena Kangoyi akizungumza na waandishi wa habari juu mafanikio ya stamico baada ya maboresho yaliyofanywa katika shirika hilo katika Ofisi Makao Makuu jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti na Uchorongaji ,Alex Rutagwelela akizungumza na waandishi wa habari juu Stamico linavyosimamia majukumu yake katika katika kuendeleza wachuimbaji wadogo iliyofanyika leo Makao Makuu ya Stamico,jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

MOI yajiimarisha katika utoaji huduma muhimu za Tiba na Upasuaji

 Afisa Uhusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Bw. Patrick Mvungi akieleza kwa vyombo vya habari(hawapo pichani) kuhusu mafanikio ya Taasisi hiyo ikiwemo kufanikiwa kwa zaidi ya asilimia 95 ya kutoa huduma muhimu za Tiba na Upasuaji kwa wagonjwa wanaopokelewa na hivyo kupunguza vifo na rufaa za kuwapeleka wagonjwa nje ya nchi,wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar ea Salaam. Kushoto ni Meneja Ustawi wa Jamii na Uhusiano wa Taasisi hiyo Bw....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani