Chelsea yajiimarisha kileleni ligi kuu
Timu ya Chelsea imezidi kujichimbia kileleni mwa ligi kuu ya England baada ya kujikusanyia pointi 63
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9TrLu8BvR3M/Uw4cpu2OfnI/AAAAAAAFP20/xhEzTSt75CA/s72-c/gauu.jpg)
AZAM FC YAREJEA KILELENI LIGI KUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-9TrLu8BvR3M/Uw4cpu2OfnI/AAAAAAAFP20/xhEzTSt75CA/s1600/gauu.jpg)
Na Bin Zubeiry
AZAM FC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ashanti United jioni hii Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Ushindi huo unaifanya timu hiyo ya Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa na familia yake ifikishe pointi 40 baada ya kucheza mechi 18, ikiishusha nafasi ya pili, Yanga SC yenye pointi 38 ingawa ina mechi moja mkononi.Gaudence Exavery Mwaikimba alifunga kila kipindi dhidi ya timu yake ya zamani, mabao yote...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO69NUWO365Uw5uKqUsIQzIahb-5jr9Qo4J-LmosFq7vZ8FYsoZFfppVYR*rBGJ9rboBCj2-SHWWN9LlbLdDaj0U/arsenal.jpg?width=650)
ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND
Ligi Kuu ya England mwaka huu ni shughuli pevu.
Jumamosi, Chelsea alikuwa kileleni, Jumapili, Manchester City na sasa ni Arsenal. Kiasi cha pointi mbili tu kinazitenganisha timu tatu za juu. Kikosi cha Arsene Wenger kimerejea kileleni kufuatia ushindi wa mabao 2-1 ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya Aston Villa. Jack Wilshere alifunga dakika ya 34 na Olivier Giroud akafunga la pili dakika ya 35 Arsenal ikaongoza 2-0 kabla ya...
10 years ago
MichuziYANGA YAJICHIMBIA KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Azam yainyuka Kagera, yakaa kileleni Ligi Kuu
Azam imejikita kileleni mwa Ligi Kuu kwa kishindo baada ya kuichapa Kagera Sugar ya Bukoba kwa mabao 3-1 jana kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
10 years ago
MichuziYANGA YAJICHIMBIA KILELENI MWA LIGI KUU YA VODACOM YA SOKA TANZANIA BARA
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
10 years ago
Vijimambo03 May
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Chelsea haishikiki Ligi Kuu England
Timu ya Chelsea imeendeleza dhamira yake ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya England kwa kuirarua Tottenham 3-0
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania