Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burnley kumenyana na Chelsea ligi kuu

Kupute cha Ligi kuu nchini Uingereza kuendelea jumatatu hii

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yajiimarisha kileleni ligi kuu

Timu ya Chelsea imezidi kujichimbia kileleni mwa ligi kuu ya England baada ya kujikusanyia pointi 63

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea haishikiki Ligi Kuu England

Timu ya Chelsea imeendeleza dhamira yake ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya England kwa kuirarua Tottenham 3-0

 

10 years ago

StarTV

Chelsea yatwaa ubingwa Ligi Kuu England

imu ya Chelsea imeibuka mabingwa wa ligi kuu ya England, baada ya kuifunga Crystal Palace bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Stamford Bridge. Bao la Chelsea lilifungwa katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza cha mchezo, likifungwa Eden Hazard.

Chelsea ilihitaji pointi tatu kutangazwa mabingwa wa ligi kuu ya England. Chelsea imetwaa ubingwa huo ikiwa bado na michezo mitatu, ikiwa imejikusanyia pointi 83 ikifuatiwa na mabingwa wa msimu uliopita Manchester City yenye pointi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea mabingwa wapya Ligi Kuu England

Timu ya Chelsea imeibuka bingwa mpya wa Ligi Kuu ya England, EPL kw mwaka 2014/2015 huku ikibakiwa na michezo mitatu

 

10 years ago

GPL

CHELSEA WAKABIDHIWA KOMBE LAO LA LIGI KUU YA ENGLAND

Chelsea wakisherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya England kwa msimu wa 2014/15. CHELSEA wamekabidhiwa kombe lao baada ya mechi yao ya mwisho dhidi ya Sunderland leo iliyomalizika kwa wababe hao kuibuka kidedea kwa mabao 3-1. Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho. Mabao hayo yamewekwa kimiani na Loic Remy aliyetupia mawili huku lingine likifungwa na…

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Manchester City ni vita ya ubingwa Ligi Kuu England

Chelsea ina nafasi ya pekee ya kufikisha pointi nane dhidi ya Manchester City leo katika mchezo mgumu wa Ligi Kuu England.

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Manchester City zang’ara Ligi Kuu England

 Chelsea imeendelea kujiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu England ikiwa na pointi 32 bila mpinzani baada ya kuilaza West Brom kwa mabao 2-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaichapa Burnley 3-1

Chelsea yailiza Burnley katika michuano ya ligi kuu England

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani