Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JKU yajiimarisha ligi ya Zanzibar

LIGI Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja iliendelea tena juzi kwa kupigwa mechi mbili tofauti kwenye uwanja wa Amani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Ligi Kuu ya Zanzibar: JKU yaitandika KVZ bao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan

Wachezaji wa Timu ya JKU wakisalimiana na Wachezaji wa Timu ya KVZ kabla ya kuaza mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshinda 2--0.

Mchezo uliochezwa jioni mabao ya JKU yamefungwa katika kipindi cha kwanza na katika dakika ya 8 mshambuliaji wa Timu ya JKU Mbarouk Chande ameipatia bao timu yake katika dakika ya nane ya mchezo huo kipindi cha kwanza na Bao la ushindi la JKU limepatikana katika kipindi hicho cha kwanza katika dakika ya 35 ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yajiimarisha kileleni ligi kuu

Timu ya Chelsea imezidi kujichimbia kileleni mwa ligi kuu ya England baada ya kujikusanyia pointi 63

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanesco yajiimarisha

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) kwa kushirikiana na Serikali ya Norway, linatarajia kufanya ukarabati wa vituo vitano vya uzalishaji umeme ili kuongeza kiwango cha uzalishaji wa nishati hiyo...

 

9 years ago

Habarileo

JKU yaizidi ubabe Mafunzo

TIMU ya netiboli ya JKU imeendeleza ubabe kwa Mafunzo kwa kuifunga mabao 48-30 katika mchezo wa Ligi ya Kanda ya Unguja uliochezwa juzi kwenye Viwanja vya Gymkhana mjini Unguja.

 

9 years ago

Mwananchi

Kipa JKU atua Msimbazi

Kipa wa JKU ya visiwani Zanzibar, Abdulrahman Mohamed jana alitarajia kusaini mkataba wa miaka miwili ya kuichezea Simba kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.

 

10 years ago

Dewji Blog

JKU kupatiwa uwezo wa kijiendesha kiuchumi

dsc_0343

Na Abdulla Ali-maelezo Zanzibar                                           

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kuwapatia nyenzo za kufanyia kazi Askari wa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) ili liweze kujiendesha na kujiinua kiuchumi.

Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,. Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Haji Omar Kheri (pichani) wakati akijibu swali la mwakilishi wa Jimbo la Wawi Mhe. Saleh Nassor Juma  katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yajiimarisha kwa mabao

Bao la kwanza la mchezaji Nicklas Bendtner tangu Machi mwaka 2011, lilisaidia Arsenal, kuicharaza Hull mabao 2-

 

10 years ago

BBCSwahili

Google yajiimarisha kupitia Alphabet

Kampuni ya Google imeanzisha kampuni nyengine kwa jina Alphabet.

 

10 years ago

Habarileo

Kijichi kucheza Ligi Kuu Zanzibar

TIMU ya soka ya Kijichi imekuwa miongoni mwa timu zilizopanda daraja, ambazo msimu ujao zitashiriki Ligi Kuu ya Zanzibar baada ya kushinda 2-1 dhidi ya timu ya Idumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani