Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijichi kucheza Ligi Kuu Zanzibar

TIMU ya soka ya Kijichi imekuwa miongoni mwa timu zilizopanda daraja, ambazo msimu ujao zitashiriki Ligi Kuu ya Zanzibar baada ya kushinda 2-1 dhidi ya timu ya Idumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Harakati za Zimamoto FC kucheza Ligi Kuu

Licha ya kuwa ni timu ngeni katika soka la Tanzania, moja ya harakati ya timu hii ya soka ya Zimamoto ni kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

9 years ago

MillardAyo

TFF imetangaza kuwazuia wachezaji kadhaa kucheza Ligi Kuu ikiwemo Danny Mrwanda kisa? ….

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kupitia kamati ya haki na hadhi za wachezaji December 23 ilikaa na kupitia mapingamizi yalikuwa yamewasilishwa kuhusu suala la usajili, mara tu dirisha dogo la usajili lilipofungwa December 15 mwaka huu. Kamati hiyo inayoongozwa na mwenyekiti wake Richard Sinamtwa imekaa December 23 na kupitia usajili wa vilabu mbalimbali […]

The post TFF imetangaza kuwazuia wachezaji kadhaa kucheza Ligi Kuu ikiwemo Danny Mrwanda kisa? …. appeared first on...

 

9 years ago

Mtanzania

Hasara yazikumba timu Ligi Kuu Zanzibar

Okoa.jpg1NA MOHAMED MHARIZO, DAR ES SALAAM

TIMU zinazoshiriki Ligi Kuu ya Zanzibar, zimelalamikia hasara za kiuendeshaji zinazopata kutokana na ligi hiyo kusimamishwa kwa amri ya mahakama kutokana na Chama cha Mpira wa Miguu visiwani humo (ZFA), kukabiliwa na kesi mbalimbali.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kwa simu kutoka Zanzibar, mmoja wa makocha wa timu za Ligi Kuu ya Zanzibar, Ali Bushiriki ambaye ni kocha mkuu wa timu ya KMKM, alisemakwa sasa hawajui hatima ya ligi hiyo kutokana na kesi...

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

9 years ago

Michuzi

Ligi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1

Mchezaji wa Timu ya Mafunzo na Kmkm wakishindana nguvu wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
Beki wa timu ya KMKM akimkata mtama mshambuliaji wa timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
Kocha Mkuu wa Timu ya KMKM Ali Bushiri (Bush) akiwakaripia wachezaji wake wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar...

 

9 years ago

Michuzi

Ligi Kuu ya Muungano ya Netiboli yaendelea Uwanja wa Gymkhana, Zanzibar

Wachezaji wa Timu ya TTPL na Polisi Moro wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Muungano zinazofanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar timu ya Polisi Moro imeshinda 36--33.Mchezaji wa timu ya TTPL Mwanaasha Ali ( GS) akiwa na mpira huku mchezaji wa timu ya Polisi Moro Jawa Iddi (GD) akijiandaa kumzuiya katika mchezo wao wa kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu ya Muungano ya Mchezo wa Netiboli yanayofanyika katika viwanja vya Gmykhana Zanzibar Timu ya Polisi Moro imeshinda...

 

10 years ago

Michuzi

Ligi Kuu ya Zanzibar: Shaba na Chuoni bao 1-1 uwanja wa Amaan leo

Mashabiki wa timu ya Shaba wakishangilia timu yao wakati ikicheza na timu ya Chuoni katika uwanja wa Amaan, jioni leo na katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya 1--1.Mchezaji wa timu ya Shaba akiondoa mpira golini kwake wakati wa mchezo wa ligi kuu ya grand malt mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan.

 

9 years ago

Michuzi

Ligi Kuu ya Zanzibar: JKU yaitandika KVZ bao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan

Wachezaji wa Timu ya JKU wakisalimiana na Wachezaji wa Timu ya KVZ kabla ya kuaza mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshinda 2--0.

Mchezo uliochezwa jioni mabao ya JKU yamefungwa katika kipindi cha kwanza na katika dakika ya 8 mshambuliaji wa Timu ya JKU Mbarouk Chande ameipatia bao timu yake katika dakika ya nane ya mchezo huo kipindi cha kwanza na Bao la ushindi la JKU limepatikana katika kipindi hicho cha kwanza katika dakika ya 35 ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani