Ligi Kuu ya Zanzibar: Shaba na Chuoni bao 1-1 uwanja wa Amaan leo
Mashabiki wa timu ya Shaba wakishangilia timu yao wakati ikicheza na timu ya Chuoni katika uwanja wa Amaan, jioni leo na katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya 1--1.
Mchezaji wa timu ya Shaba akiondoa mpira golini kwake wakati wa mchezo wa ligi kuu ya grand malt mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: JKU yaitandika KVZ bao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan
Mchezo uliochezwa jioni mabao ya JKU yamefungwa katika kipindi cha kwanza na katika dakika ya 8 mshambuliaji wa Timu ya JKU Mbarouk Chande ameipatia bao timu yake katika dakika ya nane ya mchezo huo kipindi cha kwanza na Bao la ushindi la JKU limepatikana katika kipindi hicho cha kwanza katika dakika ya 35 ya...
10 years ago
Mtanzania23 May
Shaba, Kipanga, Chuoni hatihati Ligi Kuu
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR
LIGI Kuu ya Zanzibar inatarajia kumalizika Juni 3, mwaka huu, huku timu za Shaba, Kipanga, Chuoni, Malindi na Miembeni zikiwa katika hatari ya kushuka daraja.
Miembeni na Malindi zina pointi 23 kila moja na zimebakiwa na michezo miwili, huku Kipanga ikiwa na pointi 20 na mchezo mmoja mkononi, Shaba na Chuoni zina pointi 19 kila moja na wamebakiwa na michezo miwili kila mmoja.
Hadi sasa timu ya Mafunzo inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 39 kwa kucheza mechi 20 na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yB-pXthjMQ8/VKl4Nz66YqI/AAAAAAADUPI/ZSW_sjCnjmY/s72-c/coutinho-shangwe-za-goal.jpg)
YANGA NI MWENDO WA NNE TU UKISOGEA UNAZO UWANJA WA AMAAN, ZANZIBAR, LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-yB-pXthjMQ8/VKl4Nz66YqI/AAAAAAADUPI/ZSW_sjCnjmY/s1600/coutinho-shangwe-za-goal.jpg)
Baada ya kuitwanga Taifa ya Jang'ombe kwa mabao 4-0 katika mechi ya Kombe la Mapinduzi, wamefanya hivyo tena kwa Polisi Zanzibar.
Katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar, Yanga ilipata mabao yake kupitia Andrey Coutinho aliyefunga mawili, Kpah Sherman na Simon Msuva.
Yanga ingeweza kufunga mabao mengi zaidi kutokana na kuutawala mchezo,...
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Muungano ya Netiboli yaendelea Uwanja wa Gymkhana, Zanzibar
10 years ago
MichuziMchezo wa Kirafiki Kati ya Simba na Polisi Usiku Huu Uwanja wa Amaan Simba Ikiwa mbele kwa bao 2--0
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JxpAR6VSzCE/VJ8XodibmII/AAAAAAAG6E0/I_fPEwTobe0/s72-c/IMG_8354.jpg)
DK. SHEIN AFUNGA MASHINDANO YA RIADHA UWANJA WA AMAAN,ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-JxpAR6VSzCE/VJ8XodibmII/AAAAAAAG6E0/I_fPEwTobe0/s1600/IMG_8354.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2S3JWfGfVqE/VJ8XpGBNh5I/AAAAAAAG6FA/hc14ylXfDYU/s1600/IMG_8359.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yVzFBQtmvao/U4TtwefKRbI/AAAAAAAFlmo/qgMlpifQvx4/s72-c/q1.jpg)
TIMU YA SHABA FC YAENDA BARAZA LA WAWAKILISHI KUPONGEZWA BAADA YA KUFANIKIWA KUPANDA LIGI KUU YA ZNZ
![](http://4.bp.blogspot.com/-yVzFBQtmvao/U4TtwefKRbI/AAAAAAAFlmo/qgMlpifQvx4/s1600/q1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wnoR44u3Rh8/U4TtwhT0WGI/AAAAAAAFlm4/M1szvlbL8Z0/s1600/q2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-I7IzdgeALC4/VUhIpnzBmVI/AAAAAAAA8T8/Rk-cMrtqGVI/s72-c/A%2B1.jpg)
ARSENAL YAIFUNGA HULL CITY BAO 3-1 KATIKA LIGI KUU ENGLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7IzdgeALC4/VUhIpnzBmVI/AAAAAAAA8T8/Rk-cMrtqGVI/s640/A%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ui7-46xYhKs/VUhIqJpLz1I/AAAAAAAA8T0/ckFUsFbCChs/s640/A%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a4-41Q1KTv4/VUhIqZTXPiI/AAAAAAAA8UA/yCpEisME2RU/s640/A%2B3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wmIUthkBZz0/VUhIrVSyBGI/AAAAAAAA8UE/Xb3YInv-Sog/s640/A%2B4.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10