TIMU YA SHABA FC YAENDA BARAZA LA WAWAKILISHI KUPONGEZWA BAADA YA KUFANIKIWA KUPANDA LIGI KUU YA ZNZ
![](http://4.bp.blogspot.com/-yVzFBQtmvao/U4TtwefKRbI/AAAAAAAFlmo/qgMlpifQvx4/s72-c/q1.jpg)
Wachezaji wa Timu ya Shaba FC ya Kojani wakiwasalimia Wajumbe wa Baraza la Wakakilishi(hawapo pichani) mara baada ya kuwasili ndani ya Ukumbi wa Baraza hilo leo kwa ajili ya kupongezwa baada ya kufanikiwa kupanda daraja na hivyo kupata Tiketi ya kushiriki Ligi kuu ya Zanzibar mwaka 2014/2015.
Viongozi na Wachezaji wa Timu ya Shaba FC ya Kojani wakiwa katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi leo walipoenda kwa ajili ya kupongezwa baada ya kufanikiwa kupanda daraja na hivyo kupata Tiketi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania23 May
Shaba, Kipanga, Chuoni hatihati Ligi Kuu
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR
LIGI Kuu ya Zanzibar inatarajia kumalizika Juni 3, mwaka huu, huku timu za Shaba, Kipanga, Chuoni, Malindi na Miembeni zikiwa katika hatari ya kushuka daraja.
Miembeni na Malindi zina pointi 23 kila moja na zimebakiwa na michezo miwili, huku Kipanga ikiwa na pointi 20 na mchezo mmoja mkononi, Shaba na Chuoni zina pointi 19 kila moja na wamebakiwa na michezo miwili kila mmoja.
Hadi sasa timu ya Mafunzo inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 39 kwa kucheza mechi 20 na...
10 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: Shaba na Chuoni bao 1-1 uwanja wa Amaan leo
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbJsRt9MGVkbQVUarRExx8g5xy8xjO*kD*F2D69V*JsDOkCNBIU2QzuApTDKHo1MM6Myea8ZA6oduqOKbe9SYQxW/10299958_864230110268072_8481715929559943068_n.png?width=600)
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Warioba na timu yake wanapaswa kupongezwa
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Timu 14 Ligi Kuu, mambo muhimu 14
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Timu zilizopanda Ligi Kuu zijipange
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Timu tano zawania Ligi Kuu