Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba na timu yake wanapaswa kupongezwa

“Rasimu ya Katiba ya sasa ndiyo suluhisho pekee la kuondokana na taifa lenye wazee tegemezi, kwani imeweka  mfumo mzuri  katika Sekta ya Elimu na Afya kwa vijana na watoto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TIMU YA SHABA FC YAENDA BARAZA LA WAWAKILISHI KUPONGEZWA BAADA YA KUFANIKIWA KUPANDA LIGI KUU YA ZNZ

 Wachezaji wa Timu ya Shaba FC ya Kojani wakiwasalimia Wajumbe wa Baraza la Wakakilishi(hawapo pichani) mara baada ya kuwasili ndani ya Ukumbi wa Baraza hilo leo kwa ajili ya kupongezwa baada ya kufanikiwa kupanda daraja na hivyo kupata Tiketi ya kushiriki Ligi kuu ya Zanzibar mwaka 2014/2015.   Viongozi na Wachezaji wa Timu ya Shaba FC ya Kojani wakiwa katika  Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi leo walipoenda kwa ajili ya kupongezwa baada ya kufanikiwa kupanda daraja na hivyo kupata Tiketi...

 

9 years ago

Mtanzania

Irene Uwoya afanyiwa sherehe ya kupongezwa

irene-uwoyaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

MWIGIZAJI wa filamu ambaye jina lake limepitishwa nafasi ya ubunge viti maalumu Mkoa wa Tabora kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Irene Uwoya, amesema malezi aliyopewa na wazazi wake ndiyo yatakayomsaidia kuwa kiongozi bora.

Irene alisema hayo juzi katika hafla fupi iliyoandaliwa na wazazi wake kumpongeza kupitishwa katika nafasi hiyo ambapo pia marafiki zake wa karibu walihudhuria sherehe hiyo.

“Nisingekuwa hapa nilipofika kama wazazi wangu...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yatetea tuzo yake kwa Warioba

NISHANI ya Kuuenzi Muungano aliyopewa Jaji Joseph Warioba, haikumaanisha kumkejeli, bali amepewa kwa heshima kama ilivyo kwa viongozi wengine waliopewa nishani hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba afunguka,atoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja za taarifa yake

>Wakati Ikulu ikitangaza kwamba Rais Jakaya Kikwete amevunja Tume ya Mabadiliko ya Katiba, tume hiyo imetoa ufafanuzi wa baadhi ya maeneo ya Rasimu ya Katiba.

 

10 years ago

Vijimambo

TIMU YA SIMBA YAZINDUA TOVUTI YAKE

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa Tovuti ya klabu hiyo www.simbasports.co.tz jijini Dar es Salaam. Wengine ni Makamu wa rais, Geofrey Nyange Kaburu (kushoto waliosimama) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya EAGgroup, Imani Kajula ambaye ni  washauri watekerezaji wa Biashara na Masoko wa Simba. (Picha na Francis Dande)Rais wa Klabu ya Simba, Evance Aveva akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa Tovuti ya...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUMZ NA TIMU YAKE YA WCB WATEMBELEA UBALOZI LONDON

Diamond Platnumz akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Peter Kalage katika Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza baada ya msanii huyo mwenye jina kubwa Tanzania na Duniani kwa ujumla akiwa na timu yake walipotembelea Ubalozi huo mjini London.

 

11 years ago

GPL

NISHA NA TIMU YAKE WAFANYA KUFURU KWA WATOTO YATIMA VINGUNGUTI

  Timu Nisha wakitinga katika kituo cha Mwana Orphans kilichopo Vingunguti jijini Dar. Timu Nisha wakiwa mbele ya watoto (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU AMPA DED UYUI SIKU 60 KUHAMA NA TIMU YAKE

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tabora kwa ziara ya kikazi mkoani humo Oktoba 11, 20-14.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki na Mbunge wa Urambo, Samuel Sitta baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tabora kwa ziara ya kikazi Oktoba 11, 2014. Wapili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa. {Picha na Ofisi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani