JKU yaizidi ubabe Mafunzo
TIMU ya netiboli ya JKU imeendeleza ubabe kwa Mafunzo kwa kuifunga mabao 48-30 katika mchezo wa Ligi ya Kanda ya Unguja uliochezwa juzi kwenye Viwanja vya Gymkhana mjini Unguja.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Ubabe ubabe: Brazil v Ujerumani
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Kipa JKU atua Msimbazi
9 years ago
Habarileo01 Jan
JKU yajiimarisha ligi ya Zanzibar
LIGI Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja iliendelea tena juzi kwa kupigwa mechi mbili tofauti kwenye uwanja wa Amani.
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
JKU kupatiwa uwezo wa kijiendesha kiuchumi
Na Abdulla Ali-maelezo Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kuwapatia nyenzo za kufanyia kazi Askari wa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) ili liweze kujiendesha na kujiinua kiuchumi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,. Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Haji Omar Kheri (pichani) wakati akijibu swali la mwakilishi wa Jimbo la Wawi Mhe. Saleh Nassor Juma katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BI2yOMbl3UE/VK7b4JyhHbI/AAAAAAACVZE/vCJvqT-KUUM/s72-c/TAMBWE.jpg)
YANGA NAYO OUT KOMBE LA MAPINDUZI YAPIGWA 1-0 NA JKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-BI2yOMbl3UE/VK7b4JyhHbI/AAAAAAACVZE/vCJvqT-KUUM/s640/TAMBWE.jpg)
9 years ago
MichuziMalkia wa Kombe la Muungano Timu ya Uhamiaji Yaitungua JKU Kwa 38-- 25
BOFYA...
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: JKU yaitandika KVZ bao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan
Mchezo uliochezwa jioni mabao ya JKU yamefungwa katika kipindi cha kwanza na katika dakika ya 8 mshambuliaji wa Timu ya JKU Mbarouk Chande ameipatia bao timu yake katika dakika ya nane ya mchezo huo kipindi cha kwanza na Bao la ushindi la JKU limepatikana katika kipindi hicho cha kwanza katika dakika ya 35 ya...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz)
Jumatatu ya January 4 ni siku ambayo Kombe la Mapinduzi liliendelea tena kwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kuchezwa katika uwanja wa Amani Zanzibar. Huu ulikuwa ni mchezo wa tatu wa mashindano na wa kwanza kwa Kundi A ambalo lina timu za Simba, Jamuhuri, JKU na URA ya Uganda. Hivyo timu ya URA dhidi […]
The post Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Ubabe bungeni
WAKATI kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba leo zikitarajiwa kuanza kuwasilisha ripoti za majadiliano waliyokuwa wakiyafanya katika sura ya kwanza na ya sita ya Rasimu ya Katiba, mijadala yao ilitawaliwa...