Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JKU yaizidi ubabe Mafunzo

TIMU ya netiboli ya JKU imeendeleza ubabe kwa Mafunzo kwa kuifunga mabao 48-30 katika mchezo wa Ligi ya Kanda ya Unguja uliochezwa juzi kwenye Viwanja vya Gymkhana mjini Unguja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ubabe ubabe: Brazil v Ujerumani

>Ujerumani inakutana na Brazil inayocheza kwa nguvu nyingi katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Dunia, huku wenyeji hao wakipania kutwaa ubingwa kama zawadi kwa Neymar.

 

9 years ago

Mwananchi

Kipa JKU atua Msimbazi

Kipa wa JKU ya visiwani Zanzibar, Abdulrahman Mohamed jana alitarajia kusaini mkataba wa miaka miwili ya kuichezea Simba kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.

 

9 years ago

Habarileo

JKU yajiimarisha ligi ya Zanzibar

LIGI Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja iliendelea tena juzi kwa kupigwa mechi mbili tofauti kwenye uwanja wa Amani.

 

10 years ago

Dewji Blog

JKU kupatiwa uwezo wa kijiendesha kiuchumi

dsc_0343

Na Abdulla Ali-maelezo Zanzibar                                           

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kuwapatia nyenzo za kufanyia kazi Askari wa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) ili liweze kujiendesha na kujiinua kiuchumi.

Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,. Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Haji Omar Kheri (pichani) wakati akijibu swali la mwakilishi wa Jimbo la Wawi Mhe. Saleh Nassor Juma  katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA NAYO OUT KOMBE LA MAPINDUZI YAPIGWA 1-0 NA JKU

Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe, akiwa chini akijilaumu baada ya kukosa bao la wazi katika mchezo wa Robo fainali ya Kombe la Mapinduzi uliomalizika hivi punde kwenye uwanja wa Aman mjini Zanzibar. Katika mchezo huo JKU ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Amour Omary katika dakika ya 72.Kwa matokeo hayo sasa Yanga ni timu ya tatu kuaga mashindano hayo ikiungana na Azam Fc, iliyofungwa na Mtibwa Sugar na Kcc iliyofungwa na Polisi, ambapo sasa JKU itakutana na Mtibwa Sugar katika hatua ya...

 

9 years ago

Michuzi

Malkia wa Kombe la Muungano Timu ya Uhamiaji Yaitungua JKU Kwa 38-- 25

 Mchezaji wa Timu ya JKU Rose Israel (WA) na Uhamiaji Sofia Komba (C) wakiwania mpira wakasti wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Muungano iliofanyika katika uwanja wa Gmykhana Zanzibar Timu ya Uhamiaji imeshinda kwa mabao 38--25.Mchezaji wa Timu ya JKU Dawa Haji (GA) akijiandaa kudaka mpira huku mlizi wa Timu ya Uhaniaji Kachilika Joana (GD) akijiandaa kumzuiya katika mchezo huo.Timu ya Uhamiaji imeshinda 38--25  Wachezaji wa Timu ya Uhamiaji Skozi Jackline (WA) na JKU Ashura Ramadhani (WD) 

BOFYA...

 

9 years ago

Michuzi

Ligi Kuu ya Zanzibar: JKU yaitandika KVZ bao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan

Wachezaji wa Timu ya JKU wakisalimiana na Wachezaji wa Timu ya KVZ kabla ya kuaza mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshinda 2--0.

Mchezo uliochezwa jioni mabao ya JKU yamefungwa katika kipindi cha kwanza na katika dakika ya 8 mshambuliaji wa Timu ya JKU Mbarouk Chande ameipatia bao timu yake katika dakika ya nane ya mchezo huo kipindi cha kwanza na Bao la ushindi la JKU limepatikana katika kipindi hicho cha kwanza katika dakika ya 35 ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz)

Jumatatu ya January 4 ni siku ambayo Kombe la Mapinduzi liliendelea tena kwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kuchezwa katika uwanja wa Amani Zanzibar. Huu ulikuwa ni mchezo wa tatu wa mashindano na wa kwanza kwa Kundi A ambalo lina timu za Simba, Jamuhuri, JKU na URA ya Uganda. Hivyo timu ya URA dhidi […]

The post Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ubabe bungeni

WAKATI kamati 12 za Bunge Maalumu  la Katiba leo zikitarajiwa kuanza kuwasilisha ripoti za majadiliano waliyokuwa wakiyafanya katika sura ya kwanza na ya sita ya Rasimu ya Katiba, mijadala yao ilitawaliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani