Ubabe bungeni
WAKATI kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba leo zikitarajiwa kuanza kuwasilisha ripoti za majadiliano waliyokuwa wakiyafanya katika sura ya kwanza na ya sita ya Rasimu ya Katiba, mijadala yao ilitawaliwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Ubabe ubabe: Brazil v Ujerumani
9 years ago
Mzalendo Zanzibar28 Aug
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Ni ubabe uchaguzi Simba
SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uchaguzi mkuu wa Simba, Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo imeibuka na kudai kuwa shirikisho hilo halina mamlaka ya kufanya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Unyama, ubabe wa polisi
ASKARI polisi Kituo cha Msimbazi, Wilaya ya Kipolisi Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameingia katika tuhuma za kumkamata, kumpiga na kisha kumvunja mikono yote Kulwa Kitange (40), mkazi wa Kigamboni,...
10 years ago
Habarileo16 Aug
'Mahakimu acheni ubabe'
JAJI Kiongozi, Shaaban Lila amewataka mahakimu nchini kuacha kutumia ubabe na lugha za ukali wakati wanasikiliza na kutoa uamuzi katika mashauri mbalimbali mahakamani.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Vurugu, ubabe kila kona
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Ubabe wa CCM umekaribia mwishoÂ
WAHENGA walisema “Ukuchapao (ukupigao) ndio ukufunzao.” Maana yake ufito unaokuchapa ndio ukufunzao; yaani unajifunza jambo baada ya mchapo huo. Ni ushauri kwa mtu anayelalamika baada ya kufikwa na jambo fulani....
9 years ago
Habarileo21 Aug
JKU yaizidi ubabe Mafunzo
TIMU ya netiboli ya JKU imeendeleza ubabe kwa Mafunzo kwa kuifunga mabao 48-30 katika mchezo wa Ligi ya Kanda ya Unguja uliochezwa juzi kwenye Viwanja vya Gymkhana mjini Unguja.
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Yanga kisasi, Simba ubabe
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
HOMA ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda kwa timu zote kuingia mafichoni, lakini kitakachojiri kwenye mchezo huo ni ama Yanga kufuta uteja au Simba kuendeleza ubabe dhidi ya Wanajangwani hao katika Uwanja wa Taifa Jumamosi hii.
Katika kujiandaa na mechi hiyo, timu zote zimekimbilia visiwani Zanzibar, Yanga ikiwa Pemba tokea Jumapili iliyopita na Simba ilirejea juzi Unguja kwenye kambi ya awali kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...