Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubabe wa CCM umekaribia mwisho 

WAHENGA walisema “Ukuchapao (ukupigao) ndio ukufunzao.” Maana yake ufito unaokuchapa ndio ukufunzao; yaani unajifunza jambo baada ya mchapo huo. Ni ushauri kwa mtu anayelalamika baada ya kufikwa na jambo fulani....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Uchaguzi umekwisha, utafiti wangu umekaribia ukweli

TAFITI nyingi zimefayika juu ya Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Privatus Karugendo

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ubabe ubabe: Brazil v Ujerumani

>Ujerumani inakutana na Brazil inayocheza kwa nguvu nyingi katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Dunia, huku wenyeji hao wakipania kutwaa ubingwa kama zawadi kwa Neymar.

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki na hii, Christmas ya Peru sio sherehe, ni kupigana ngumi mwanzo mwisho… (+Video)

Kila watu wana utamaduni wao, kama utamaduni wako ni kusherehekea kwa kukaa na familia yako nyumbani, basi kwingine sio hivyo… na kama umezoea kukutana na sherehe za marafiki na ndugu, basi Peru kuna sherehe za maadui !! Countdown ya siku kuelekea Christmas inazidi kujivuta, zimebaki kama siku tatu tu hivi kuifikia December 25 2015, siku […]

The post Cheki na hii, Christmas ya Peru sio sherehe, ni kupigana ngumi mwanzo mwisho… (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ubabe bungeni

WAKATI kamati 12 za Bunge Maalumu  la Katiba leo zikitarajiwa kuanza kuwasilisha ripoti za majadiliano waliyokuwa wakiyafanya katika sura ya kwanza na ya sita ya Rasimu ya Katiba, mijadala yao ilitawaliwa...

 

10 years ago

Habarileo

'Mahakimu acheni ubabe'

JAJI Kiongozi, Shaaban Lila amewataka mahakimu nchini kuacha kutumia ubabe na lugha za ukali wakati wanasikiliza na kutoa uamuzi katika mashauri mbalimbali mahakamani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unyama, ubabe wa polisi

ASKARI polisi Kituo cha Msimbazi, Wilaya ya Kipolisi Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameingia katika tuhuma za kumkamata, kumpiga na kisha kumvunja mikono yote Kulwa Kitange (40), mkazi wa Kigamboni,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni ubabe uchaguzi Simba

SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uchaguzi mkuu wa Simba, Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo imeibuka na kudai kuwa shirikisho hilo halina mamlaka ya kufanya...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kiburi na Ubabe wa Makufuli

The post Kiburi na Ubabe wa Makufuli appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Vurugu, ubabe kila kona

Ligi Daraja la Kwanza imemaliza hatua ya kwanza, lakini nyuma yake imeacha simulizi mbaya zikiwamo za vurugu za baadhi ya timu zilizosababisha mechi kuvunjika, uzalendo uliokithiri umejitokeza kwa jina la upendeleo hasa kwa timu zinapocheza nyumbani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani