Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi umekwisha, utafiti wangu umekaribia ukweli

TAFITI nyingi zimefayika juu ya Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Privatus Karugendo

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!

Rapper Mabeste ameshare kile alichoita “ukweli wa kuuguwa kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!” Mabeste akiwa na mke wake Lisa na mtoto wao Kendrick Hivi karibuni rapper huyo alielezea kwa kirefu jinsi mke wake Lisa Karl Fickenscher alivyougua kwa muda mrefu mara baada ya kujifungua mtoto wao Kendrick, kiasi cha kufikiri […]

 

9 years ago

GPL

UCHAGUZI UMEKWISHA, SASA TUFANYE KAZI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete. MUNGU ni mwema kwa sababu sehemu kubwa ya nchi hii tumefanya uchaguzi kwa amani, japokuwa sijapata taarifa za sehemu nyingine kutokana na ukubwa wa nchi yetu, hili ni jambo tulilokuwa tukiliombea. Baada ya kusema hayo nianze kwa kuseme kwamba uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ukituweka roho juu sasa umekwisha na tunawapa hongera wote walioshiriki kufanikisha kwa dhati uchaguzi huo na sasa tutakiane heri na...

 

11 years ago

GPL

5 years ago

Michuzi

ACHA LEO NISEME UKWELI MZEE WANGU KINANA UJUE NILITAKA KUKUSHANGAA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV .
MZEE wangu Abdulrhman Kinana acha leo niseme ukweli nilitaka kushangaa.Ndio nilitaka kushangaa kuhusu wewe.Unajua kwanini ?Nitaeleza huko mbele ya safari kwenye maelezo yangu.
Hata hivyo kabla ya kuendelea naomba nikurejeshe kwenye kile ambacho mzee Kinana amekizungumza jana akiwa mkoani Arusha baada ya kwenda kumtembelea na kumsalimia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha.
Akiwa katika ofisi ya CCM Mkoa wa Arusha Kinana amesikika akisema hivi "Ni...

 

10 years ago

Bongo5

Bob Junior azungumzia kuchelewa kwa kolabo yake na Chameleone, pamoja na ujio wa ablam ya ‘Ukweli Wangu’

Mwanamuziki na producer wa Sharobaro Record, Bob Junior amezungumzia sababu ya kuchelewa kwa kolabo yake na nyota wa Uganda, Jose Chameleone pamoja na ujio wa ablam yake itwayo ‘Ukweli Wangu’. Bob Junior Akizungumza na Bongo5 leo, Bob Junior alisema sababu kubwa iliyosabisha kuchelewa kutoka kwa wimbo huo, ni Chameleone kuwa busy sana na kushidwa kukaa […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ubabe wa CCM umekaribia mwisho 

WAHENGA walisema “Ukuchapao (ukupigao) ndio ukufunzao.” Maana yake ufito unaokuchapa ndio ukufunzao; yaani unajifunza jambo baada ya mchapo huo. Ni ushauri kwa mtu anayelalamika baada ya kufikwa na jambo fulani....

 

9 years ago

Bongo5

Wanataka kuufungia wimbo wangu mpya ‘Viva Roma viva’ kisa tu nimeongea ukweli — Roma

Saa chache baada ya wimbo mpya wa Roma ‘Viva Roma viva’ kutoka September 9, rapper huyo amedai kuwa ametishiwa wimbo huo kufungiwa. Kupitia Instagram, majira ya saa mbili usiku Roma aliandika; “WANATAKA KUIFUNGIA NYIMBO YANGU!! KISA TU NIMEONGEA UKWELI!! INANIUMA SANA NATAMANI HATA KULIA NIKIONA UKWELI HAUPEWI NAFASI!! NIOMBEENI NA MNIKUMBUKE KWENYE SALA ZENU NDUGU […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti kuhusu uchaguzi ujao ni halisi?

Utafiti uliofanywa na Taasisi huru ya TWAWEZA kuelekea uchaguzi mkuu ujao nchini Tanzania umepokelewa kwa hisia tofauti

 

9 years ago

Dewji Blog

Twaweza yatoa matokeo ya utafiti juu ya Uchaguzi nchini 2015

Print

aidan

Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Bw. Aidan Eyakuze.(Picha na Maktaba).

 

Na Ally Daud-MAELEZO.

Taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza imetoa matokeo ya utafiti uliyofanywa juu ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ambapo utafiti huo unaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndio kinachopendwa na wananchi kuliko chama kingine cha  siasa hapa nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau mbalimbali jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Bw. Aidan Eyakuze alisema katika utafiti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani