UCHAGUZI UMEKWISHA, SASA TUFANYE KAZI
![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFWHRqp1hOHFgAd*cxHyilR0KAJzVFQyB6gx2iwPF8z5Ivw91JHlEU90oDYjMJHaxSi9UpGrJDXCd2eskMUYvXDh/jk.jpg?width=650)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete. MUNGU ni mwema kwa sababu sehemu kubwa ya nchi hii tumefanya uchaguzi kwa amani, japokuwa sijapata taarifa za sehemu nyingine kutokana na ukubwa wa nchi yetu, hili ni jambo tulilokuwa tukiliombea. Baada ya kusema hayo nianze kwa kuseme kwamba uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ukituweka roho juu sasa umekwisha na tunawapa hongera wote walioshiriki kufanikisha kwa dhati uchaguzi huo na sasa tutakiane heri na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mgogoro EALA umekwisha, wabunge wachape kazi
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Uchaguzi umekwisha, utafiti wangu umekaribia ukweli
TAFITI nyingi zimefayika juu ya Uchaguzi Mkuu wa 2015.
Privatus Karugendo
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Sasa kazi ni moja tu, kudai Tume Huru ya Uchaguzi ili haki itendeke
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCxU7fldwpX3z1onGk6E7l9aSzhA5nzFjTCxeIOhVpfYXgAePzfGwwSlXWIgzNhqqdJjgdsHqxppmOb6RjIXSdFl/MizengoPinda.jpg?width=650)
2015 TUPUNGUZE SIASA, TUFANYE KAZI
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Laicky Gugu: Tuacheni tulio madarakani tufanye kazi
11 years ago
Habarileo21 Mar
Tufanye kazi, Watanzania wana matarajio makubwa—Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameeleza kuwa Watanzania wana matarajio makubwa kutokana na kugunduliwa kwa hazina kubwa ya gesi katika maeneo ya kina kirefu cha bahari.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cZCmd-viW6Q/VK1GatcvRfI/AAAAAAAG71A/f4OwdyMr4CU/s72-c/unnamedb1.jpg)
AG MASAJU: WATUMISHI WA UMMA TUFANYE KAZI KWA UZALENDO
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju amewakumbusha watumishi wa umma katika sekta ya sheria kufanya kazi kwa ushirikiano na uzalendo ili kulinda maslahi ya taifa.
Bw. Masaju, ambaye ameteuliwa na kuapishwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo, amefafanua kuwa watumishi wa umma wanapozingatia uzalendo katika utendaji wao, wanapata nguvu ya kusimama na kukemea maovu.
Bw. Masaju ameyasema hayo leo (Jumatano, Januari 7, 2015) jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Mwananchi06 May
Tufanye uchaguzi kwa muda mwafaka na amani
11 years ago
Michuzi18 May