Mgogoro EALA umekwisha, wabunge wachape kazi
Baada ya shughuli za Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kukwama kwa muda mrefu kutokana na kukumbwa na migogoro, ukiwamo wa wabunge kususia vikao wakitaka Spika Margaret Zziwa ajiuzulu, hatimaye juzi walifanikiwa kumng’oa madarakani wakisema amepoteza sifa za kuendelea kushika wadhifa huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N1acL4oKVGk/XqE-3DF6RYI/AAAAAAALn74/tz_O2myEu0whOKn9vQcb1Jf4UfHBFcdpwCLcBGAsYHQ/s72-c/0413c912-c764-4249-886e-db90156c71f6.jpg)
TAROTWU yataka Madereva wachape kazi.
Na Chalila Kibuda,Michuzi TV
Chama cha Wafanyakazi Madereva wa Usafirishaji kwa njia Barabarani nchini (TAROTWU) kimewataka madereva wote nchini kupuuza taarifa ya kuwepo kwa mgomo kwa madereva ifikapo Aprili 30 mwaka huu.
Akizungumza na Waandishi Habari Katibu Mkuu wa Chama hicho Salum Abdallah amesema kuwa baadhi ya vyama viliitisha mgomo huo ambao kwao ni...
9 years ago
Habarileo24 Nov
Mbunge awataka wananchi kuacha siasa, wachape kazi
MBUNGE wa Manonga, Seif Gulamali, amewataka watumishi wa serikali katika jimbo hilo kutojihusisha na siasa na badala yake wawahudumie wananchi kutokana na maadili ya kazi zao.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFWHRqp1hOHFgAd*cxHyilR0KAJzVFQyB6gx2iwPF8z5Ivw91JHlEU90oDYjMJHaxSi9UpGrJDXCd2eskMUYvXDh/jk.jpg?width=650)
UCHAGUZI UMEKWISHA, SASA TUFANYE KAZI
10 years ago
MichuziMSIWABUGHUDHI VIONGOZI WALIOPO MADARAKANI WAACHENI WACHAPE KAZI - DK. MNDOLWA
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kuwabugudhi viongozi waliopo madarakani kwa kuchaguliwa waendelee kuchapa kazi badala ya kuanza kuzihitaji nafasi zao kabla ya wakati.
Mwito huo umetolewa na Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama hicho wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Dk. Edmund Mndolwa wakati akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo.
"Wito wangu kwa wanachama wenzangu wenye lengo la kutaka kugombea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AdUJ5yj22Dk/VYLEeksoWxI/AAAAAAAAevo/SqL-dssySRM/s72-c/12.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AWATAKA VIJANA WACHAPE KAZI NA SI KUKAA VIJIWENI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-AdUJ5yj22Dk/VYLEeksoWxI/AAAAAAAAevo/SqL-dssySRM/s1600/12.jpg)
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Bunge la EALA lakumbwa na mgogoro
10 years ago
Habarileo20 Jan
Wabunge EAC wazika mgogoro
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) limetangaza rasmi kumalizika kwa mgogoro uliodumu kwa mwaka mzima na kuahidi kuwatumikia wananchi wa Jumuiya hiyo.
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Wabunge EALA wajadili ushirika
WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) walio katika kamati ya Kilimo, Utalii na Maliasili wamekutana kujadili muswada wa sheria ya ushirika wa pamoja. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
Mwananchi02 May
Nyalandu aibua tena mgogoro na wabunge