TAROTWU yataka Madereva wachape kazi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-N1acL4oKVGk/XqE-3DF6RYI/AAAAAAALn74/tz_O2myEu0whOKn9vQcb1Jf4UfHBFcdpwCLcBGAsYHQ/s72-c/0413c912-c764-4249-886e-db90156c71f6.jpg)
*Yataka kupuuza matamko ya baadhi ya vyama kuhusiana na mgomo,Serikali inafanyika Kazi masuala mbalimbali ya Madereva.
Na Chalila Kibuda,Michuzi TV
Chama cha Wafanyakazi Madereva wa Usafirishaji kwa njia Barabarani nchini (TAROTWU) kimewataka madereva wote nchini kupuuza taarifa ya kuwepo kwa mgomo kwa madereva ifikapo Aprili 30 mwaka huu.
Akizungumza na Waandishi Habari Katibu Mkuu wa Chama hicho Salum Abdallah amesema kuwa baadhi ya vyama viliitisha mgomo huo ambao kwao ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mgogoro EALA umekwisha, wabunge wachape kazi
9 years ago
Habarileo24 Nov
Mbunge awataka wananchi kuacha siasa, wachape kazi
MBUNGE wa Manonga, Seif Gulamali, amewataka watumishi wa serikali katika jimbo hilo kutojihusisha na siasa na badala yake wawahudumie wananchi kutokana na maadili ya kazi zao.
10 years ago
MichuziMSIWABUGHUDHI VIONGOZI WALIOPO MADARAKANI WAACHENI WACHAPE KAZI - DK. MNDOLWA
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kuwabugudhi viongozi waliopo madarakani kwa kuchaguliwa waendelee kuchapa kazi badala ya kuanza kuzihitaji nafasi zao kabla ya wakati.
Mwito huo umetolewa na Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama hicho wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Dk. Edmund Mndolwa wakati akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo.
"Wito wangu kwa wanachama wenzangu wenye lengo la kutaka kugombea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AdUJ5yj22Dk/VYLEeksoWxI/AAAAAAAAevo/SqL-dssySRM/s72-c/12.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AWATAKA VIJANA WACHAPE KAZI NA SI KUKAA VIJIWENI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-AdUJ5yj22Dk/VYLEeksoWxI/AAAAAAAAevo/SqL-dssySRM/s1600/12.jpg)
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Kamati yataka Blatter asimamishwe kazi
9 years ago
Habarileo11 Nov
CCM Songea yataka kazi bila mazoea
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Songea mkoani Ruvuma, kimewataka watumishi wa Serikali kufanya kazi kikamilifu ili kuharakisha maendeleo.
11 years ago
Habarileo10 Aug
Serikali yataka vijana kuchapa kazi kwa bidii
SERIKALI imewataka vijana kuchapa kazi kwa bidii ili kuleta mabadiliko chanya katika jamii wanazoishi ikizingatiwa kwamba asilimia 75 ya nguvu kazi ya taifa ni vijana.
9 years ago
Mwananchi11 Nov
NYANZA: ATE yataka ‘Hapa Kazi Tu’ hadi sekta binafsi
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
UN yataka serikali kufanyia kazi mianya inayotishia haki za binadamu
Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bibi Mary Massay akitambulisha meza kuu wakati wa maadhimisho ya Siku ya haki za binadamu yaliyoenda sambamba na mkutano wa kujadili utekezaji wa makubaliano ya haki za binadamu nchini na maandalizi ya ripoti ijayo yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu
MRATIBU Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)...