Wabunge EAC wazika mgogoro
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) limetangaza rasmi kumalizika kwa mgogoro uliodumu kwa mwaka mzima na kuahidi kuwatumikia wananchi wa Jumuiya hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 May
EAC kushughulikia mgogoro wa Burundi
10 years ago
Mwananchi02 May
Nyalandu aibua tena mgogoro na wabunge
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mgogoro EALA umekwisha, wabunge wachape kazi
10 years ago
GPLVIONGOZI WAKUU EAC KUJADILI MGOGORO WA BURUNDI DAR ES SALAAM
11 years ago
Tanzania Daima25 May
‘Wabunge EAC wawe na ofisi’
SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kwamba wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wanakuwa na ofisi na vitendea kazi kwa ajili ya shughuli zao. Rai hiyo ilitolewa na wabunge mbalimbali waliochangia mjadala...
10 years ago
Habarileo14 Dec
Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi
WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.
11 years ago
Habarileo27 Mar
Wabunge EALA wataka katiba EAC kuangaliwa
WABUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), wamesema kuna umuhimu wa kuangalia upya katiba ya uanzishwaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kutokana na mambo mengi yaliyopo ndani ya katiba hiyo kupitwa na wakati.
11 years ago
Habarileo03 Apr
Wabunge EAC wamng’ang’ania Spika wao
WABUNGE 33 wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), wamesema mchakato wa kumng'oa madarakani Spika wa Bunge hilo, Dk Margareth Zziwa uko pale pale.
11 years ago
Habarileo10 Jun
Wabunge wa Tanzania EAC wapinga spika kung’olewa
WABUNGE wa Tanzania katika Bunge la jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), wamesisitiza kutounga mkono hoja ya kumng’oa Spika wa bunge hilo, Margaret Zziwa, kwa kuwa haina maslahi na Tanzania na wana Afrika Mashariki kwa ujumla.