Wabunge EALA wataka katiba EAC kuangaliwa
WABUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), wamesema kuna umuhimu wa kuangalia upya katiba ya uanzishwaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kutokana na mambo mengi yaliyopo ndani ya katiba hiyo kupitwa na wakati.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Dec
Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi
WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.
11 years ago
Habarileo02 May
Uanachama EAC Sudan Kusini, Somalia kuangaliwa Oktoba
MAJADILIANO juu ya ombi la Sudani Kusini kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yameahirishwa hadi Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Wabunge EALA wajadili ushirika
WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) walio katika kamati ya Kilimo, Utalii na Maliasili wamekutana kujadili muswada wa sheria ya ushirika wa pamoja. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
Mtanzania29 Sep
Hukumu yawatia kiwewe wabunge EALA
Makongoro Nyerere
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR
SIKU chache baada ya Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ) kutoa hukumu ya kukiukwa kwa Ibara ya 50 ya mkataba wa kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wabunge wa Tanzania wanaoshiriki katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) wanakusudia kukutana ili kujadili kwa kina hukumu hiyo.
Akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu jana, Mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere alisema kati ya wabunge hao kuna wanasheria watatu ambao watatoa...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Wabunge EALA wafichua mchezo mchafu
WABUNGE saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, wamejiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa madarakani Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, baada ya kubaini kulikuwa na mchezo mchafu nyuma...
10 years ago
MichuziEALA SWEARS IN NEW TANZANIA MINISTER TO EAC
CLICK HERE FOR MORE PHOTOS
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mgogoro EALA umekwisha, wabunge wachape kazi
11 years ago
MichuziEAC’s $125 MILLION BUDGET PRESENTED TO EALA
11 years ago
IPPmedia28 Mar
Enactment of EAC legislations unacceptably slow, says EALA
IPPmedia
Enactment of EAC legislations unacceptably slow, says EALA
IPPmedia
Enactment of East Africa Community (EAC) legislations is unacceptably too slow, the East African Legislative Assembly (EALA) has decried and to remit the drag it has called for a revisit of the due processes. EALA Speaker Dr Margaret Zziwa explained to the ...
EALA's Zziwa Faces CensureThe Observer
Fate of EALA Speaker still hangs in the balanceDaily News
all 5