Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge EALA wataka katiba EAC kuangaliwa

WABUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), wamesema kuna umuhimu wa kuangalia upya katiba ya uanzishwaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kutokana na mambo mengi yaliyopo ndani ya katiba hiyo kupitwa na wakati.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi

Profesa Kitilla Mkumbo WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.

 

11 years ago

Habarileo

Uanachama EAC Sudan Kusini, Somalia kuangaliwa Oktoba

MAJADILIANO juu ya ombi la Sudani Kusini kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yameahirishwa hadi Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wabunge EALA wajadili ushirika

WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) walio katika kamati ya Kilimo, Utalii na Maliasili wamekutana kujadili muswada wa sheria ya ushirika wa pamoja. Akizungumza jijini Dar es...

 

10 years ago

Mtanzania

Hukumu yawatia kiwewe wabunge EALA

Makongoro Nyerere

Makongoro Nyerere

NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR

SIKU chache baada ya Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ) kutoa hukumu ya kukiukwa kwa Ibara ya 50 ya mkataba wa kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wabunge wa Tanzania wanaoshiriki katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) wanakusudia kukutana ili kujadili kwa kina hukumu hiyo.

Akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu jana, Mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere alisema kati ya wabunge hao kuna wanasheria watatu ambao watatoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge EALA wafichua mchezo mchafu

WABUNGE saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, wamejiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa madarakani Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, baada ya kubaini kulikuwa na mchezo mchafu nyuma...

 

10 years ago

Michuzi

EALA SWEARS IN NEW TANZANIA MINISTER TO EAC

The Minister is led into the EALA Chamber by Hon Shem Bageine, Minister for EAC, Uganda, Hon Dr. Nderakindo Kessy (right) and Hon Nusura Tiperu at the back.Administration of Oath. The new Minister takes the oath administered by Mr. Obatre Lumumba, the Deputy Clerk of EALA. He is flanked on right by the Minister for EAC, Republic of Uganda, Hon Shem Bageine and Hon Nusura Tiperu and Hon Dr. Nderakindo Kessy, partially hidden.

CLICK HERE FOR MORE PHOTOS

 

10 years ago

Mwananchi

Mgogoro EALA umekwisha, wabunge wachape kazi

Baada ya shughuli za Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kukwama kwa muda mrefu kutokana na kukumbwa na migogoro, ukiwamo wa wabunge kususia vikao wakitaka Spika Margaret Zziwa ajiuzulu, hatimaye juzi walifanikiwa kumng’oa madarakani wakisema amepoteza sifa za kuendelea kushika wadhifa huo.

 

11 years ago

Michuzi

EAC’s $125 MILLION BUDGET PRESENTED TO EALA

The Minister for EAC Affairs, Hon Shem Bageine holds the Budget Speech aloft at the start of the proceedings earlier today. He is flanked by the Minister for EAC Burundi, Hon Leontine Nzeyimana, Hon Dr. Abdallah Sadala Abdallah, Deputy Minister for EAC, United Republic of Tanzania and the Counsel to the Community, Hon Wilbert Kaahwa. On extreme right is the Clerk to the Assembly, Mr. Kenneth Madete. the Deputy Minister for EAC, United Republic of Tanzania Dr. Abdallah Sadala Abdallah...

 

11 years ago

IPPmedia

Enactment of EAC legislations unacceptably slow, says EALA


IPPmedia
Enactment of EAC legislations unacceptably slow, says EALA
IPPmedia
Enactment of East Africa Community (EAC) legislations is unacceptably too slow, the East African Legislative Assembly (EALA) has decried and to remit the drag it has called for a revisit of the due processes. EALA Speaker Dr Margaret Zziwa explained to the ...
EALA's Zziwa Faces CensureThe Observer
Fate of EALA Speaker still hangs in the balanceDaily News

all 5

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani