Laicky Gugu: Tuacheni tulio madarakani tufanye kazi
Kwa kawaida katika siasa kila chama huwa na ilani na sera zinazokiongoza kufikia kwenye malengo yake. Mara nyingi sera na ilani hizo huwa ni dira inayotumika kuelezea dhamira sahihi inayopaswa kuwakilishwa na wanachama wake wakilenga kuleta maendeleo na wakati mwingine kuzidi kukubalika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCxU7fldwpX3z1onGk6E7l9aSzhA5nzFjTCxeIOhVpfYXgAePzfGwwSlXWIgzNhqqdJjgdsHqxppmOb6RjIXSdFl/MizengoPinda.jpg?width=650)
2015 TUPUNGUZE SIASA, TUFANYE KAZI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFWHRqp1hOHFgAd*cxHyilR0KAJzVFQyB6gx2iwPF8z5Ivw91JHlEU90oDYjMJHaxSi9UpGrJDXCd2eskMUYvXDh/jk.jpg?width=650)
UCHAGUZI UMEKWISHA, SASA TUFANYE KAZI
11 years ago
Habarileo21 Mar
Tufanye kazi, Watanzania wana matarajio makubwa—Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameeleza kuwa Watanzania wana matarajio makubwa kutokana na kugunduliwa kwa hazina kubwa ya gesi katika maeneo ya kina kirefu cha bahari.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cZCmd-viW6Q/VK1GatcvRfI/AAAAAAAG71A/f4OwdyMr4CU/s72-c/unnamedb1.jpg)
AG MASAJU: WATUMISHI WA UMMA TUFANYE KAZI KWA UZALENDO
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju amewakumbusha watumishi wa umma katika sekta ya sheria kufanya kazi kwa ushirikiano na uzalendo ili kulinda maslahi ya taifa.
Bw. Masaju, ambaye ameteuliwa na kuapishwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo, amefafanua kuwa watumishi wa umma wanapozingatia uzalendo katika utendaji wao, wanapata nguvu ya kusimama na kukemea maovu.
Bw. Masaju ameyasema hayo leo (Jumatano, Januari 7, 2015) jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi18 May
10 years ago
MichuziMSIWABUGHUDHI VIONGOZI WALIOPO MADARAKANI WAACHENI WACHAPE KAZI - DK. MNDOLWA
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kuwabugudhi viongozi waliopo madarakani kwa kuchaguliwa waendelee kuchapa kazi badala ya kuanza kuzihitaji nafasi zao kabla ya wakati.
Mwito huo umetolewa na Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama hicho wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Dk. Edmund Mndolwa wakati akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo.
"Wito wangu kwa wanachama wenzangu wenye lengo la kutaka kugombea...
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Hii Ndio Show na Kauli ya Mwisho ya Sharo, Sikujua Kwanini Alitaka Tufanye Kazi na Stanbakora-KITALE
Show ya mwisho kufanya na marehemu sharo ilikuwa mwembe yanga show ya DTV nakumbuka ilikuwa inaitwa "NI WAKATI WAKO" baada ya hapo kesho asubuhi tukaenda tanga kushuti movie yetu hii (Safara Hasara) ambayo 20/04/2015 ndio inatoka tukamaliza kushuti salama salimini tukarudi DAR usiku napigiwa simu na marehemu sajuki anataka niende kwenye show yake iringa CHANGIA SAJUKI tarehe 25/11/2012 akabaki kwa sababu alikuwa katoka magomeni kaamia sinza ana siku mbili bado mgeni sinza basi mimi nikafanya...
5 years ago
Bongo514 Feb
Bongo Movie Tuacheni Visingizio – Steve Nyerere
Baada ya maandamano ya wasanii wa filamu nchini yaliyofanyika Jumatano hii katika mtaa wa Aggrey Kariakoo, msanii wa tasnia hiyo Steve Mengele Nyerere amefunguka kuhusu tukio hilo.
Akiongea na waandishi wa habari, Steve ameeleza kuwa sababu ya yeye kutokuungana na wasanii wenzake kuandamana ni kwa kuwa jambo hilo halioni kama lina tija kwake.
“Binafsi ninalipinga hili, wasanii tunataka kutumika ndivyo sivyo. Mimi siwezi tu kuambiwa kuwa kuna maandamano nikaenda.
“Tunavyosema filamu za nje...
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...