Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACHA LEO NISEME UKWELI MZEE WANGU KINANA UJUE NILITAKA KUKUSHANGAA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV .
MZEE wangu Abdulrhman Kinana acha leo niseme ukweli nilitaka kushangaa.Ndio nilitaka kushangaa kuhusu wewe.Unajua kwanini ?Nitaeleza huko mbele ya safari kwenye maelezo yangu.
Hata hivyo kabla ya kuendelea naomba nikurejeshe kwenye kile ambacho mzee Kinana amekizungumza jana akiwa mkoani Arusha baada ya kwenda kumtembelea na kumsalimia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha.
Akiwa katika ofisi ya CCM Mkoa wa Arusha Kinana amesikika akisema hivi "Ni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mzee Jangala: Nilitaka mwanangu awe mwanajeshi

jangala23NA CHRISTOPHER MSEKENA

MKONGWE wa filamu za vichekesho nchini, Bakari Mbelemba maarufu kama Mzee Jangala, amesema alitamani mwanaye wa kwanza wa kiume awe mwanajeshi badala ya kuwa kwenye fani yake ya sanaa.

Mzee Jangala alisema enzi zao walikuwa wanaamini zaidi ukiwa na mtoto mwanajeshi kuna mambo mbalimbali atakuwa anaweza kuyatimiza kama atakuwa na nafasi kubwa.

“Chaguo la kwanza nilitaka mwanangu awe mwanajeshi, kama alikuwa anataka kuwa daktari au kufanya sanaa basi nilipenda avifanye...

 

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!

Rapper Mabeste ameshare kile alichoita “ukweli wa kuuguwa kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!” Mabeste akiwa na mke wake Lisa na mtoto wao Kendrick Hivi karibuni rapper huyo alielezea kwa kirefu jinsi mke wake Lisa Karl Fickenscher alivyougua kwa muda mrefu mara baada ya kujifungua mtoto wao Kendrick, kiasi cha kufikiri […]

 

10 years ago

GPL

AFANDE ACHA HIZO, UKWELI UTAMSAIDIA DAZ BABA!

SELEMANI Msindi, ndiye msanii wangu bora kabisa wa tungo za kiume, zinazopeleka ujumbe moja kwa moja pasipo mafumbo na kama itabidi liwe fumbo, kwa wanazuoni, ni rahisi mno kujua mlengwa. Wengi wanamfahamu kama Afande Sele, kijana wa pale Morogoro ambaye wakati f’lani akitafuta maisha, aliwahi kujaribu kupata ajira katika Jeshi la Polisi, chanzo hasa cha jina lake hili la kisanii. Kati ya wasanii wakubwa ninaowafahamu kwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-12

Ilipoishia wiki iliyopita
Ili kujiokoa, nikajikuta nikiruka kutoka juu ya paa la nyumba huku nikipiga mayowe. Nahisi nilipoteza fahamu kabla ya kuanguka chini maana sikukumbuka kilichotokea.
Sasa endelea…

Nilikuja kuzinduka nikiwa nimelala kitandani hospitalini, mwili wote ulikuwa na maumivu na sikuweza hata kujitingisha. Kichwa chote kilikuwa kimefungwa bandeji na macho yangu hayakuweza kuona mwanga.

Nilitambua kama nilikuwa hospitali kutokana na harufu ya dawa na mpishano wa watu. Katika...

 

9 years ago

Global Publishers

Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-11

Ilipoishia wiki iliyopita
Nikiwa nimelala kama saa nane usiku, ghafla nikahisi joto kali chumbani na kwa uzoefu wangu wa Iringa, kipindi kile ni cha baridi. Haraka nikaamka, nikasikia harufu ya moto, nikavaa suruali haraka nikatoka nje. Kulikuwa na moshi mwingi pale kwenye korido, sikuona chochote!Sasa endelea…

Moshi ulikuwa ni mwingi sana kiasi kwamba ingawa taa zilikuwa zinawaka, lakini mwanga wake ulionekana mwekundu usiopitisha nuru yoyote. Na mlango wa chumba changu ukaanza kuingiza...

 

9 years ago

Raia Mwema

Uchaguzi umekwisha, utafiti wangu umekaribia ukweli

TAFITI nyingi zimefayika juu ya Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Privatus Karugendo

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Bongo5

Bob Junior azungumzia kuchelewa kwa kolabo yake na Chameleone, pamoja na ujio wa ablam ya ‘Ukweli Wangu’

Mwanamuziki na producer wa Sharobaro Record, Bob Junior amezungumzia sababu ya kuchelewa kwa kolabo yake na nyota wa Uganda, Jose Chameleone pamoja na ujio wa ablam yake itwayo ‘Ukweli Wangu’. Bob Junior Akizungumza na Bongo5 leo, Bob Junior alisema sababu kubwa iliyosabisha kuchelewa kutoka kwa wimbo huo, ni Chameleone kuwa busy sana na kushidwa kukaa […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Karibu utabaarku mzee wangu…!

PG4A2995

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Mzee Mohammed Cheupe kutoka jimbo la Ruangwa ambaye Juni 20, 2014 alitembelea bunge kwa mwaliko wa Mbunge wake, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri  Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani