Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-12
Ilipoishia wiki iliyopita
Ili kujiokoa, nikajikuta nikiruka kutoka juu ya paa la nyumba huku nikipiga mayowe. Nahisi nilipoteza fahamu kabla ya kuanguka chini maana sikukumbuka kilichotokea.
Sasa endelea…
Nilikuja kuzinduka nikiwa nimelala kitandani hospitalini, mwili wote ulikuwa na maumivu na sikuweza hata kujitingisha. Kichwa chote kilikuwa kimefungwa bandeji na macho yangu hayakuweza kuona mwanga.
Nilitambua kama nilikuwa hospitali kutokana na harufu ya dawa na mpishano wa watu. Katika...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-11
Ilipoishia wiki iliyopita
Nikiwa nimelala kama saa nane usiku, ghafla nikahisi joto kali chumbani na kwa uzoefu wangu wa Iringa, kipindi kile ni cha baridi. Haraka nikaamka, nikasikia harufu ya moto, nikavaa suruali haraka nikatoka nje. Kulikuwa na moshi mwingi pale kwenye korido, sikuona chochote!Sasa endelea…
Moshi ulikuwa ni mwingi sana kiasi kwamba ingawa taa zilikuwa zinawaka, lakini mwanga wake ulionekana mwekundu usiopitisha nuru yoyote. Na mlango wa chumba changu ukaanza kuingiza...
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Mzee Jangala: Nilitaka mwanangu awe mwanajeshi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MKONGWE wa filamu za vichekesho nchini, Bakari Mbelemba maarufu kama Mzee Jangala, amesema alitamani mwanaye wa kwanza wa kiume awe mwanajeshi badala ya kuwa kwenye fani yake ya sanaa.
Mzee Jangala alisema enzi zao walikuwa wanaamini zaidi ukiwa na mtoto mwanajeshi kuna mambo mbalimbali atakuwa anaweza kuyatimiza kama atakuwa na nafasi kubwa.
“Chaguo la kwanza nilitaka mwanangu awe mwanajeshi, kama alikuwa anataka kuwa daktari au kufanya sanaa basi nilipenda avifanye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3a3X8W22Ro0/XtoYpoRkSYI/AAAAAAALsr4/1DesrrOHgXIBtBXW9PDA-g8LYdffEAwTQCLcBGAsYHQ/s72-c/maoni%252Bpic.jpg)
ACHA LEO NISEME UKWELI MZEE WANGU KINANA UJUE NILITAKA KUKUSHANGAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3a3X8W22Ro0/XtoYpoRkSYI/AAAAAAALsr4/1DesrrOHgXIBtBXW9PDA-g8LYdffEAwTQCLcBGAsYHQ/s400/maoni%252Bpic.jpg)
MZEE wangu Abdulrhman Kinana acha leo niseme ukweli nilitaka kushangaa.Ndio nilitaka kushangaa kuhusu wewe.Unajua kwanini ?Nitaeleza huko mbele ya safari kwenye maelezo yangu.
Hata hivyo kabla ya kuendelea naomba nikurejeshe kwenye kile ambacho mzee Kinana amekizungumza jana akiwa mkoani Arusha baada ya kwenda kumtembelea na kumsalimia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha.
Akiwa katika ofisi ya CCM Mkoa wa Arusha Kinana amesikika akisema hivi "Ni...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tsiZAHkOin0/VfhpxGyMqRI/AAAAAAAH5Eg/rSdPFad4r4M/s640/2.jpg)
9 years ago
Mwananchi09 Nov
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Mrembo Sitti: Nilitaka kujiua
11 years ago
Habarileo28 Mar
Mwili wa RC Mara kuagwa leo
MWILI wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa unaagwa leo katika ibada itakayofanyika viwanja vya Nyerere Square, mjini Dodoma. Taarifa ya Kamati ya Uratibu ya Msiba ya Mkoa wa Dodoma, ilisema baada ya ibada hiyo wananchi watapata nafasi ya kumuaga.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jlNmWunfZjA/VhqEleKmUkI/AAAAAAAAu84/JzqYOE6_AWg/s72-c/OTH_9010.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA MJINI MUSOMA, MKOANI MARA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jlNmWunfZjA/VhqEleKmUkI/AAAAAAAAu84/JzqYOE6_AWg/s640/OTH_9010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1fnme1woB84/VhqEoGlfhwI/AAAAAAAAu9M/zWbXJOOxLKY/s640/OTH_9020.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v3yQIAsWrbw/VhqEv5OpO5I/AAAAAAAAu9s/QJdOgplyzoo/s640/OTH_9106.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yy9gQh8x02M/VhqFNVdPKjI/AAAAAAAAu_c/8wHHu6WnMZg/s640/OTH_9258.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pXEUfh7MG7Y/UzRBb8OXhoI/AAAAAAAFW0Y/5DoZ66i4xvA/s72-c/unnamed+(50).jpg)
MWILI WA MAREHEMU MKUU WA MKOA WA MARA WAWASILI DODOMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-pXEUfh7MG7Y/UzRBb8OXhoI/AAAAAAAFW0Y/5DoZ66i4xvA/s1600/unnamed+(50).jpg)