Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrembo Sitti: Nilitaka kujiua

Dar es Salaam. “Nilitaka kujiua kwa njia yoyote ambayo ningeona inafaa, lakini nilirudisha moyo nyuma kwa sababu ingekuwa shida kubwa nyumbani.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Sitti Tanzania Foundation inakuletea Chozi la Sitti 02.05.2015 @Mlimani City Conference Hall


Sitti Abbas Mtemvu, jina alilopewa kutoka kwa Bibi yake mzaa Baba, ambae nae wakati wa enzi zake alipewa jina hilo kutokana na umahiri wake wa kughani akifananishwa na msanii na mtunzi maarufu aliepata kutokea akiitwa Siti Binti Saad. Umahiri wa bibi ulimfanya kuwahi kushinda tuzo mbalimbali za sanaa wakati huo katika ukumbi maarufu wa burudani ulioitwa Anatoglou…….Nae alipozaliwa alipewa tunu, tunu ya jina la Sitti.

Haya ni machache latika kitabu chake kipya kikiitwa – Chozi la Sitti……Kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

9 years ago

Mtanzania

Mzee Jangala: Nilitaka mwanangu awe mwanajeshi

jangala23NA CHRISTOPHER MSEKENA

MKONGWE wa filamu za vichekesho nchini, Bakari Mbelemba maarufu kama Mzee Jangala, amesema alitamani mwanaye wa kwanza wa kiume awe mwanajeshi badala ya kuwa kwenye fani yake ya sanaa.

Mzee Jangala alisema enzi zao walikuwa wanaamini zaidi ukiwa na mtoto mwanajeshi kuna mambo mbalimbali atakuwa anaweza kuyatimiza kama atakuwa na nafasi kubwa.

“Chaguo la kwanza nilitaka mwanangu awe mwanajeshi, kama alikuwa anataka kuwa daktari au kufanya sanaa basi nilipenda avifanye...

 

9 years ago

Global Publishers

Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-11

Ilipoishia wiki iliyopita
Nikiwa nimelala kama saa nane usiku, ghafla nikahisi joto kali chumbani na kwa uzoefu wangu wa Iringa, kipindi kile ni cha baridi. Haraka nikaamka, nikasikia harufu ya moto, nikavaa suruali haraka nikatoka nje. Kulikuwa na moshi mwingi pale kwenye korido, sikuona chochote!Sasa endelea…

Moshi ulikuwa ni mwingi sana kiasi kwamba ingawa taa zilikuwa zinawaka, lakini mwanga wake ulionekana mwekundu usiopitisha nuru yoyote. Na mlango wa chumba changu ukaanza kuingiza...

 

9 years ago

Global Publishers

Nilitaka Kumuua Mwanangu Mara 3, Leo Ananisaidia!-12

Ilipoishia wiki iliyopita
Ili kujiokoa, nikajikuta nikiruka kutoka juu ya paa la nyumba huku nikipiga mayowe. Nahisi nilipoteza fahamu kabla ya kuanguka chini maana sikukumbuka kilichotokea.
Sasa endelea…

Nilikuja kuzinduka nikiwa nimelala kitandani hospitalini, mwili wote ulikuwa na maumivu na sikuweza hata kujitingisha. Kichwa chote kilikuwa kimefungwa bandeji na macho yangu hayakuweza kuona mwanga.

Nilitambua kama nilikuwa hospitali kutokana na harufu ya dawa na mpishano wa watu. Katika...

 

5 years ago

Michuzi

ACHA LEO NISEME UKWELI MZEE WANGU KINANA UJUE NILITAKA KUKUSHANGAA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV .
MZEE wangu Abdulrhman Kinana acha leo niseme ukweli nilitaka kushangaa.Ndio nilitaka kushangaa kuhusu wewe.Unajua kwanini ?Nitaeleza huko mbele ya safari kwenye maelezo yangu.
Hata hivyo kabla ya kuendelea naomba nikurejeshe kwenye kile ambacho mzee Kinana amekizungumza jana akiwa mkoani Arusha baada ya kwenda kumtembelea na kumsalimia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha.
Akiwa katika ofisi ya CCM Mkoa wa Arusha Kinana amesikika akisema hivi "Ni...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Atumia kamba za viatu kujiua


NA JESSICA KILEO
WATU wawili wamefariki dunia mjini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti, likiwemo la Godfrey Mtenga kukutwa akiwa amejinyonga hadi kufa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4.00 asubuhi katika eneo la Kibangu Makoka, ambapo Mtenga alikutwa akiwa ananing’inia baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizozitundika juu ya tawi la mti.
Wambura alisema, walikuta mwili wa mtu huyo ukiwa unaning’inia huku chini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza:Kujadili mswada wa kujiua

Askofu mkuu wa zamani wa Cantebury aunga mkono sheria zitakazohalalisha watu wanaougua kupitia kiasi kujitoa uhai

 

11 years ago

Habarileo

Uchunguzi kujiua Balozi wa Libya

JESHI la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, limeanza uchunguzi wa kifo cha Kaimu Balozi wa Libya nchini, Ismail Nwairat (39) kilichotokea Jumanne wiki hii baada ya kuruhusiwa kuingia katika eneo la tukio. Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani