Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchunguzi kujiua Balozi wa Libya

JESHI la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, limeanza uchunguzi wa kifo cha Kaimu Balozi wa Libya nchini, Ismail Nwairat (39) kilichotokea Jumanne wiki hii baada ya kuruhusiwa kuingia katika eneo la tukio. Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAARIFA KUHUSU KAIMU BALOZI WA LIBYA KUJIUA

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa leo imepokea taarifa kutoka Ubalozi wa Libya hapa nchini kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Bwana Ismail Nwairat, amefariki dunia jana kwa kujipiga risasi. Taarifa hiyo ya ubalozi imeeleza kuwa kifo hicho kimetokea majira ya saa Saba mchana ofisini kwa Kaimu Balozi huyo katika jengo la Ubalozi wa Lbya. Inataarifiwa kuwa Bwana Nwairat alijifungia ofisini na kujifyatulia risasi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Balozi wa Libya Tanzania ajiua

Balozi wa Libya nchini Tanzania, Ismail Nwairat, amejiua kwa kujipiga risasi kichwani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Balozi wa Jordan atekwa nyara Libya

Balozi wa Jordan nchini Libya ametekwa nyara mjini Tripoli, katika shambulizi ambalo limemwacha dereva wake na majeraha mabaya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi wa Libya ajiua kwa risasi

KAIMU Balozi wa Libya nchini, Ismail Nwairat, amejiua kwa kujipiga risasi kifuani akiwa ofisini kwake. Balozi huyo, amejiua juzi saa 7 mchana katika jengo la Ubalozi huo jijini Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

Balozi Libya ajiua ofisini kwake Dar

ALIYEKUWA Kaimu Balozi wa Libya nchini, Ismail Nwairat, amekufa, baada ya kujipiga risasi.

 

11 years ago

CloudsFM

Balozi wa Libya ajiua kwa risasi ofisini Dar

Balozi wa Libya nchini Tanzania, Ismail Nwairat, amejiua kwa risasi jana ofisini kwake, katika tukio la kwanza la aina yake nchini kwa kigogo wa ubalozi kuondoa uhai wake.

Hadi sasa haijafahamika sababu za kujiua kwa balozi huyo ambaye alikuwa akipingana waziwazi na sera za utawala ulioondolewa madarakani wa Kanali Muhamar Gaddafi, aliyeuawa wakati wa mapinduzi Oktoba 2011.

Habari zilizopatikana jana na kuthibitishwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa zilisema kuwa...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDDI AMEMUAGIZA MKURUGENZI WA ‘ZAWA’ KUFANYA UCHUNGUZI WA KINA NA KUWACHUKULIA HATUA ZA NIDHAMU KWA MUJIBU WA SHERIA WATENDAJI WA MAMLAKA HIYO.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.Mmiliki wa Kiwanja cha nyumba ya Ghorofa Mlandege Bwana Anuari Abdullah akijitetea kupata kibali kinachomruhusu kuendeleza ujenzi wa nyumba yake.
 Baadhi ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakitafakari na kufurahia maamuzi yaliyochukuliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Balozi Mdogo wa Libya nchini Tanzania ajiua kwa risasi

 Balozi Mdogo wa Libya nchini Tanzania,Ndg. Ismail Nwairat amefikwa na mauti baada ya kujifungia ofisini kwake na kujifyatulia risasi kifuani.tukio hilo lilitokea jana jioni na chanzo chake bado hakijafahamika mpaka sasa.
Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje,imethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Mambo ya Nje yathibitisha kifo cha balozi wa Libya aliyejipiga risasi usiku wa kuamkia leo

bernard-membe

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Benard Membe.

Na Mwandishi wetu.

Balozi wa Libya nchini Mh. Ismail Nwairat amefariki dunia  jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo baada ya kujipiga risasi ya kifuani upande wa kushoto akiwa ofisini kwake.

Taarifa iliyotolewa na  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ilisema kuwa,  ilipokea taarifa kutoka kwenye Ubalozi huo kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya,  Ismail Nwairat amefariki dunia  kwa kujipiga risasi.

Hata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani