Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi wa Libya ajiua kwa risasi ofisini Dar

Balozi wa Libya nchini Tanzania, Ismail Nwairat, amejiua kwa risasi jana ofisini kwake, katika tukio la kwanza la aina yake nchini kwa kigogo wa ubalozi kuondoa uhai wake.

Hadi sasa haijafahamika sababu za kujiua kwa balozi huyo ambaye alikuwa akipingana waziwazi na sera za utawala ulioondolewa madarakani wa Kanali Muhamar Gaddafi, aliyeuawa wakati wa mapinduzi Oktoba 2011.

Habari zilizopatikana jana na kuthibitishwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa zilisema kuwa...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Balozi Libya ajiua ofisini kwake Dar

ALIYEKUWA Kaimu Balozi wa Libya nchini, Ismail Nwairat, amekufa, baada ya kujipiga risasi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi wa Libya ajiua kwa risasi

KAIMU Balozi wa Libya nchini, Ismail Nwairat, amejiua kwa kujipiga risasi kifuani akiwa ofisini kwake. Balozi huyo, amejiua juzi saa 7 mchana katika jengo la Ubalozi huo jijini Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Balozi Mdogo wa Libya nchini Tanzania ajiua kwa risasi

 Balozi Mdogo wa Libya nchini Tanzania,Ndg. Ismail Nwairat amefikwa na mauti baada ya kujifungia ofisini kwake na kujifyatulia risasi kifuani.tukio hilo lilitokea jana jioni na chanzo chake bado hakijafahamika mpaka sasa.
Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje,imethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

 

11 years ago

GPL

BILIONEA DAR AJIUA KWA RISASI

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
NI jambo lililotoa mshtuko kwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani ambapo Desemba 10, mwaka huu, walikuta mwili wa binadamu ukiwa ndani ya gari lililopinduka, pembeni mwa Barabara ya Kisarawe - Mwaneromango. Mbali na mwili, ndani ya gari hilo aina ya Toyota RAV 4 (milango mitatu new model) lenye namba za usajili T 273 AKP kulikutwa bastola moja, risasi 85 na magazini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Balozi wa Libya Tanzania ajiua

Balozi wa Libya nchini Tanzania, Ismail Nwairat, amejiua kwa kujipiga risasi kichwani.

 

11 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara ajiua kwa risasi

MFANYABIASHARA wa madini, Richard Lucas (29) anadaiwa kujiua kwa kujipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri wa Malawi ajiua kwa risasi

NAIBU Waziri anayemaliza muda wake wa Serikali za Mitaa nchini Malawi, Godfrey Kamanya, amejiua kwa kujipiga risasi, baada ya matokeo ya awali ya kura za ubunge, kuonesha ameshindwa kukomboa jimbo alilokuwa akishikilia la Lilongwe, Msozi Kaskazini.

 

10 years ago

Habarileo

Dereva wa OCD ajiua kwa risasi

Thobias SedoyekaASKARI aliyekuwa dereva wa Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) Manyoni mkoani hapa, Aloyce Alibinus amejiua kwa kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.

 

10 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara ajiua kwa risasi baa

MFANYABIASHARA wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp yenye kambi za watalii katika hifadhi za Serengeti mkoani Mara na Manyara iliyopo katika mikoa ya Arusha na Manyara, Timoth Mroki (36) amejiua kwa kujipiga risasi tatu kifuani akiwa katika baa maarufu ya Arusha Raha iliyopo eneo la Shams, jijini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani