Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza:Kujadili mswada wa kujiua

Askofu mkuu wa zamani wa Cantebury aunga mkono sheria zitakazohalalisha watu wanaougua kupitia kiasi kujitoa uhai

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Vijana wengi watamani kujiua Uingereza

_65680924_006525189-1

Na Mwandishi wetu

Imeelezwa kuwa idadi ya watoto wanaofikiria kujiua imeongezeka ghafla nchini Uingereza hali inayoonyesha kuwepo ongezeko la asilimia 116 kulinganisha na kesi zilizorekodiwa katika kipindi cha kati ya mwaka 2010 na 2011.

Taasisi ya utoaji huduma za ushauri ya childline imeripoti kuwa imepokea simu 34,000 katika kipindi cha kati ya mwaka 2013 na 2014 za vijana wa kiingereza wenye umri wa chini miaka 18 ambao wamekuwa wakifikiria kujiua.

Karibu vijana wote chipukizi 6,000...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOKUTANA NA MWANA MFALME WA UINGIREZA PRINCE CHARLES NA KUJADILI VITA DHIDI YA BIASHARA HARAMU YA WANYAMAPORI NCHINI UINGEREZA.

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwana mfalme wa Uingereza Prince Charles wakati wa mkutano uliojadili  vita dhidi ya biashara haramu ya wanyamapori huko Clarence House London nchini Uingereza.Mkutano huo uliandaliwa na Prince Charles.(picha kwa hisani ya Clarence House)

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada mpya wa usalama Kenya

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ametia sahihi sheria mpya ya kukabiliana na maswala ya usalama nchini, ambapo maafisa wa usalama watasikiliza mawasiliano ya simu ya watu hata bila kuwaarifu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mswada wa kuwabagua mashoga wakatiliwa.

Gavana wa jimbo la Arizona nchini Marekani aukataa mswada ambao ungesababisha kubaguliwa kwa watu wa jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada wa ugaidi Kenya wawakera wengi

Bunge la Kenya limepitisha mswada unaolenga kuwapa nguvu zaidi maafisa usalama kukabiliana na ugaidi pamoja na maswala mengine ya usalama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada uliozua zogo DRC kurekebishwa

Baraza la Senate nchini DRC limepiga kjura kufanyia mswada marekebisho mswada uliopendekeza sheria za uchaguzi kufanyiwa mabadiliko.

 

11 years ago

BBCSwahili

Museveni akataa kuidhinisha mswada tata

Rais wa UG, Yoweri Museveni amekataa kuidhinisha mswaada unatatoa adhabu kali kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya

Wabunge wa Kenya wametofautiana pakubwa bungeni kufuatia mjadala mkali kuhusu mswaada tatanishi wa usalama kiasi cha kulazimisha bunge kusitisha kikao kwa muda

 

11 years ago

BBCSwahili

Tutu amsihi Museveni kuhusu mswada mpya

Desmond Tutu amuomba Rais Museveni afikirie tena mswada kuhusu wapenzi wa jinsia moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani