Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutu amsihi Museveni kuhusu mswada mpya

Desmond Tutu amuomba Rais Museveni afikirie tena mswada kuhusu wapenzi wa jinsia moja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Museveni akataa kuidhinisha mswada tata

Rais wa UG, Yoweri Museveni amekataa kuidhinisha mswaada unatatoa adhabu kali kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada mpya wa usalama Kenya

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ametia sahihi sheria mpya ya kukabiliana na maswala ya usalama nchini, ambapo maafisa wa usalama watasikiliza mawasiliano ya simu ya watu hata bila kuwaarifu.

 

10 years ago

Michuzi

Taarifa kutoka Sikika kuhusu upotoshaji wa mswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015

Naomba nifafanue kuhusu propaganda inayoenezwa na maafisa wa TCRA kupitia CloundsFM kuhusu Sikika na Mswada wa ‪#‎CyberCrimeBill‬.
Sikika haikuhudhuria mkutano wa wadau unaodaiwa kufanyika Dodoma kama ilivyodaiwa na Mh Peter Serukamba na leo maafisa wa TCRA.
Sikika haikutoa maoni kuhusu Mswada wa miamala ya kielektoniki kama ilivyodaiwa na Mh Peter Serukamba na pia leo maafisa wa TCRA.
Sikika ilituma maoni ya pamoja ya wadau kwa niaba ya wadau kuhusu #CyberCrimeBill kwa njia ya email...

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni na Bashir kuzungumza kuhusu Sudan K

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anatarajiwa kuzuru nchini Sudan siku ya jumanne kwa mazungumzo na rais Omar El Bashir ikiwa ni ziara yake ya kwanza kwa taifa hilo jirani tangu mwaka 2005.

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni amusuta Raila kuhusu Sukari

Rais wa Uganda amemsuta kiongozi wa upinzani wa Kenya Raila Odinga kwa kupinga mkataba wa uuzaji wa sukari

 

11 years ago

BBCSwahili

Ushauri wa Museveni kuhusu Boko Haram

Je njia ya kukabiliana na Boko Haram, iwe ya nguvu au mazungumzo?

 

11 years ago

Michuzi

Nitapeleka ushahidi Roma kuhusu maisha ya Nyerere - Museveni

Na Paul Mallimbo, Kampala, Uganda Rais Yoweri Museveni, amesema kiongozi bora ni yule anayefuata maagizo ya Mungu na kuwatumikia binadamu wote kwa usawa na haki. Rais Museveni aliyasema hayo (Juni mosi) wakati ibada ya kuombea mchakato wa kumfanya Marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mwenyeheri na hatimaye kutangazwa mtakatifu.  Alisema hata kwenye maandiko matakatifu ya Biblia kuna mistari inayomtaka binadamu ampende binadamu mwenzake kama anavyojipenda yeye;“Kwenye biblia...

 

10 years ago

BBCSwahili

''Museveni'' atoa wimbo mpya wa kampeni

Wimbo mpya umetolewa nchini uganda ukiwemo sauti ya rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, na kuwaacha wengi wakijiuliza ikiwa umetungwa kwa ajili ya kampeni za uchaguzi ujao

 

9 years ago

Mtanzania

Rais Museveni kuachia wimbo mpya

Yoweri_MuseveniKAMPALA, UGANDA

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao ameupa jina la ‘Kwezi’ utakaokuwa unachangia shughuli za kampeni za uchaguzi.

Kwezi utakuwa ni wimbo wake wa tatu ndani ya miaka mitano mara baada ya kuachia wimbo wa Mpenkoni, ambao ulitumika sana katika kampeni za uchaguzi mwaka 2011.

Mpaka sasa rais huyo hajapanga siku ya kuuachia, lakini inasemekana ni siku za hivi karibuni kwa kuwa tayari amekaa na baadhi ya wataalamu wa muziki na kuupitia wimbo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani