Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nitapeleka ushahidi Roma kuhusu maisha ya Nyerere - Museveni

Na Paul Mallimbo, Kampala, Uganda Rais Yoweri Museveni, amesema kiongozi bora ni yule anayefuata maagizo ya Mungu na kuwatumikia binadamu wote kwa usawa na haki. Rais Museveni aliyasema hayo (Juni mosi) wakati ibada ya kuombea mchakato wa kumfanya Marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mwenyeheri na hatimaye kutangazwa mtakatifu.  Alisema hata kwenye maandiko matakatifu ya Biblia kuna mistari inayomtaka binadamu ampende binadamu mwenzake kama anavyojipenda yeye;“Kwenye biblia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Museveni- Nyerere atangazwe Mtakatifu

Rais Yoweri Museveni, amesema kiongozi bora ni yule anayefuata maagizo ya Mungu na kuwatumikia binadamu wote kwa usawa na haki.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawakili kesi ya Sheikh Ponda wavutana kuhusu sheria ya ushahidi

Shahidi watatu katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda ametoa ushahidi wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro huku mawakili wa upande wa mashtaka na wa utetezi wakisigana kwenye kifungu cha 150 hadi 152 cha sheria ya ushahidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ushauri wa Museveni kuhusu Boko Haram

Je njia ya kukabiliana na Boko Haram, iwe ya nguvu au mazungumzo?

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni na Bashir kuzungumza kuhusu Sudan K

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anatarajiwa kuzuru nchini Sudan siku ya jumanne kwa mazungumzo na rais Omar El Bashir ikiwa ni ziara yake ya kwanza kwa taifa hilo jirani tangu mwaka 2005.

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni amusuta Raila kuhusu Sukari

Rais wa Uganda amemsuta kiongozi wa upinzani wa Kenya Raila Odinga kwa kupinga mkataba wa uuzaji wa sukari

 

11 years ago

BBCSwahili

Tutu amsihi Museveni kuhusu mswada mpya

Desmond Tutu amuomba Rais Museveni afikirie tena mswada kuhusu wapenzi wa jinsia moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani