Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Museveni- Nyerere atangazwe Mtakatifu

Rais Yoweri Museveni, amesema kiongozi bora ni yule anayefuata maagizo ya Mungu na kuwatumikia binadamu wote kwa usawa na haki.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Nitapeleka ushahidi Roma kuhusu maisha ya Nyerere - Museveni

Na Paul Mallimbo, Kampala, Uganda Rais Yoweri Museveni, amesema kiongozi bora ni yule anayefuata maagizo ya Mungu na kuwatumikia binadamu wote kwa usawa na haki. Rais Museveni aliyasema hayo (Juni mosi) wakati ibada ya kuombea mchakato wa kumfanya Marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mwenyeheri na hatimaye kutangazwa mtakatifu.  Alisema hata kwenye maandiko matakatifu ya Biblia kuna mistari inayomtaka binadamu ampende binadamu mwenzake kama anavyojipenda yeye;“Kwenye biblia...

 

9 years ago

Mwananchi

Aliyeshinda Zanzibar atangazwe-Zitto

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameitaka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kumtangaza mshindi wa kiti cha urais wa Zanzibar.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtandao Mtakatifu kuzinduliwa Accra

Kundi la RA ambalo ni la kikristo nchini Ghana linatarajia kuzindua kitu kinachoitwa mtandao wa kijamii mtakatifu

 

9 years ago

Raia Mwema

Tukumbushane utatu usio mtakatifu

NIMEPATA kuandika kupitia safu hii mwaka 2008.

Maggid Mjengwa

 

9 years ago

BBCSwahili

'Mother Teresa' kuwa mtakatifu

Ni baada ya Papa Francis kutambua muujiza wa pili uliohusishwa na 'Mother Teresa' ambapo raia wa Brazil alipona saratani

 

10 years ago

Habarileo

Baba Mtakatifu ajitabiria ukomo

Papa Fransis.AKIWA katika maadhimisho ya kuanza mwaka wa pili wa utume wake katika kuongoza Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis, ametoa kauli kuashiria kuwa huenda asidumu katika wadhifa huo kwa muda mrefu ujao.

 

11 years ago

TheCitizen

NYERERE DAY: Untold story of how Nyerere won Africa’s deadly war

>As the nation commemorates the 15th anniversary of the death of founding president Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, fresh details  have emerged on how the globally acknowledged statesman built an eight-year-long case as a curtain raiser to  the war against General Idi Amin Dada – one of Africa’s most brutal dictators.

 

10 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara jana , aliposimama kwa muda akielekea kwenye mkutano wa kampeni wilayani huo leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya. Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli akiweka shada la la maua alipozuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo wilayani Butiama,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani