Baba Mtakatifu ajitabiria ukomo
AKIWA katika maadhimisho ya kuanza mwaka wa pili wa utume wake katika kuongoza Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis, ametoa kauli kuashiria kuwa huenda asidumu katika wadhifa huo kwa muda mrefu ujao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Baba mtakatifu Francis asisitiza msamaha
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Baba Mtakatifu Francis awasili Ecuador
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Baba Mtakatifu:G20 kumbukeni maskini
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Baba Mtakatifu Francis ziarani Marekani
Baba Mtakatifu Francis jana aliwasili nchini Marekani kuanza ziara ya kwanza kuwahi kuifanya nchini humo maishani mwake.

10 years ago
Vijimambo24 Sep
RAIS BARACK OBAMA AMUKARIBISHA BABA MTAKATIFU FRANCIS MJENGO MWEUPE, WASHINGTON, DC



10 years ago
Habarileo26 Sep
Magufuli ajitabiria ushindi 95%
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amejitabiria ushindi wa ‘tsunami’ wa asilimia 95 na siyo 65 kama ilivyotajwa katika utafiti wa Taasisi ya Twaweza.
10 years ago
GPL
PENNY AJITABIRIA KUWA MCHUNGAJI
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Timua timua ya Makocha: baada ya Mourinho, Van Gaal naye ajitabiria kutimuliwa!!
Van Gaal
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Baada ya taarifa kutoka siku ya Alhamisi kuwa klabu ya Chelsea imemfukuza kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, kocha wa Manchester United amesema hilo ni jambo la kushtukiza zaidi kwake na anahisi na yeye litamtokea kama ilivyomtokea mwenzake.
Van Gaal alisema kuwa jambo hilo limekuwa la haraka na hali jinsi ilivyo katika kikosi chake ambacho katika michezo mitano imeyopita haijapata ushindi anahisi na yeye atafukuzwa kama Mourinho ambaye...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Ukomo wa Dk Shein Zanzibar utata