Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba Mtakatifu ajitabiria ukomo

Papa Fransis.AKIWA katika maadhimisho ya kuanza mwaka wa pili wa utume wake katika kuongoza Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis, ametoa kauli kuashiria kuwa huenda asidumu katika wadhifa huo kwa muda mrefu ujao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Baba mtakatifu Francis asisitiza msamaha

Baba Mtakatifu Francis wa kanisa Katoliki ametangaza kwamba atawapa mapadri wote nafasi ya kuwasamehe wanawake walio toa mimba

 

10 years ago

BBCSwahili

Baba Mtakatifu Francis awasili Ecuador

Baba mtakatifu Francis amwasilini nchini Ecuador akiweka kituo cha kwanza katika ziara yake itakayodumu kwa siku saba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baba Mtakatifu:G20 kumbukeni maskini

Baba Mtakatifu Francis ametoa wito kwa Viongozi wa dunia kuwakumbuka maskini

 

10 years ago

Dewji Blog

Baba Mtakatifu Francis ziarani Marekani

Na Mwandishi wetu Swahilivilla.Blog
Baba Mtakatifu Francis jana aliwasili nchini Marekani kuanza ziara ya kwanza kuwahi kuifanya nchini humo maishani mwake. Pope Francis is scheduled to address Americans on the front lawn of the White House on Wednesday. Pictured above on Tuesday at the airport, being welcomed to the U.S. by President Obama and his family Baba Mtakatifu Papa Francis akiwa katika mapokezi chini ya  Rais Obama na familia yake Kwa kawaida marais wa Marekani huwapokea wageni rasmi Ikulu ya nchi hiyo, lakini alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kijeshi wa Andrews ulioko nje kidogo ya jiji la Washington, Baba Mtakatifu alipata heshima ya kulakiwa na Rais Obama na familia...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS BARACK OBAMA AMUKARIBISHA BABA MTAKATIFU FRANCIS MJENGO MWEUPE, WASHINGTON, DC

Rais Barack Obama akimkaribisha Baba Mtakatifu Papa Francis kwenye ikulu ya Marekani asubuhi ya siku ya Jumatano Septemba 23, 2015. Papa Francis yupo Marekani kwa ziara ya siku 4 na aliwasili siku ya Jumanne Septemba 22, 2015 na kulakiwa na mwenyeji wake Mhe. Barack Obama.Papa Francis akifanya mazungumuzo na mwenyeji wake Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama.Papa Francis na mwenyeji wake Rais Barack Obama akiwa na mkewe Michelle Obama wakiwapuniwa wageni waliokua nje ya kiwanja cha Ikulu...

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli ajitabiria ushindi 95%

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amejitabiria ushindi wa ‘tsunami’ wa asilimia 95 na siyo 65 kama ilivyotajwa katika utafiti wa Taasisi ya Twaweza.

 

10 years ago

GPL

PENNY AJITABIRIA KUWA MCHUNGAJI

Imelda Mtema
Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amejitabiria kuwa huenda siku za baadaye akawa mchungaji maana amekuwa akitabiri mambo flani kisha yanatokea. Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’. Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Penny alisema kwenye...

 

9 years ago

Dewji Blog

Timua timua ya Makocha: baada ya Mourinho, Van Gaal naye ajitabiria kutimuliwa!!

Manchester-United-Press-ConferenceVan Gaal

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya taarifa kutoka siku ya Alhamisi kuwa klabu ya Chelsea imemfukuza kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, kocha wa Manchester United amesema hilo ni jambo la kushtukiza zaidi kwake na anahisi na yeye litamtokea kama ilivyomtokea mwenzake.

Van Gaal alisema kuwa jambo hilo limekuwa la haraka na hali jinsi ilivyo katika kikosi chake ambacho katika michezo mitano imeyopita haijapata ushindi anahisi na yeye atafukuzwa kama Mourinho ambaye...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukomo wa Dk Shein Zanzibar utata

Ukomo wa madaraka wa Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein umeibua utata na kusababisha wanasheria na polisi kutoa tafsiri zinazokinzana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani