Baba Mtakatifu Francis ziarani Marekani
Na Mwandishi wetu Swahilivilla.Blog
Baba Mtakatifu Francis jana aliwasili nchini Marekani kuanza ziara ya kwanza kuwahi kuifanya nchini humo maishani mwake.
Baba Mtakatifu Papa Francis akiwa katika mapokezi chini ya Rais Obama na familia yake
Kwa kawaida marais wa Marekani huwapokea wageni rasmi Ikulu ya nchi hiyo, lakini alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kijeshi wa Andrews ulioko nje kidogo ya jiji la Washington, Baba Mtakatifu alipata heshima ya kulakiwa na Rais Obama na familia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Baba mtakatifu Francis asisitiza msamaha
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Baba Mtakatifu Francis awasili Ecuador
9 years ago
Vijimambo24 Sep
RAIS BARACK OBAMA AMUKARIBISHA BABA MTAKATIFU FRANCIS MJENGO MWEUPE, WASHINGTON, DC
![](https://img.washingtonpost.com/rf/image_1484w/2010-2019/WashingtonPost/2015/09/18/Interactivity/Images/crop_90Obama_Pope_Protocol-05384-4415.jpg?uuid=XqrDiF2iEeWEdXgcyYUWUg)
![](https://timedotcom.files.wordpress.com/2015/09/pope-francis-us-visit-white-house-23.jpg?quality=65&strip=color&w=751)
![](http://static2.nydailynews.com/polopoly_fs/1.2371351.1443021051!/img/httpImage/image.jpg_gen/derivatives/article_635/544613029.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Mar
Baba Mtakatifu ajitabiria ukomo
AKIWA katika maadhimisho ya kuanza mwaka wa pili wa utume wake katika kuongoza Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis, ametoa kauli kuashiria kuwa huenda asidumu katika wadhifa huo kwa muda mrefu ujao.
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Baba Mtakatifu:G20 kumbukeni maskini
10 years ago
Michuzi24 Feb
mwana FA ziarani New York, Marekani
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/S6XmZ1msrvc5Nl47vZRnm1ufhwBvZoGMziyNDK84F-BDsDN3QvCPBzIJTzqA8-R5B8_u6LXErpc3CZv1KA-vBmIF74rkoh78CUxPnUMElBo6xRZn95ws0Eohhurqf6SEiUsaSKSca71lTtT7HpXJ23XwgZbzm71y4PXjnA3aus0kPClLTGu9uKQ=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/t31.0-8/10945475_10205159687085823_2345308498832769011_o.jpg)
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rais wa Cuba ziarani Marekani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s72-c/New%2BPicture%2B(2).bmp)
RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s1600/New%2BPicture%2B(2).bmp)
Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-nHT-52rc8Kk/VRVhtpwIpcI/AAAAAAAAAJo/jN0QEDLGK0Q/s72-c/Dullah%2BMsangi.jpg)
RAIS BARACK OBAMA WA MAREKANI ZIARANI JIMBO LA ALABAMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nHT-52rc8Kk/VRVhtpwIpcI/AAAAAAAAAJo/jN0QEDLGK0Q/s1600/Dullah%2BMsangi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yuHusFufVYY/VRVhvL9PpHI/AAAAAAAAAJw/iGHlSEOE0S8/s1600/Invitation%2Bcard.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FFuX_VrEpE4/VRVhwpkAu0I/AAAAAAAAAJ4/QQM1rBzdxt4/s1600/Air%2Bforce%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TIGNavoj85s/VRVh3Owyq4I/AAAAAAAAAKI/vZY48oZ7HZk/s1600/Air%2Bforce%2B1%2Bwith%2Belectronic%2Bcountermeasures.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BBAvq6a7HhA/VRVpKPOahUI/AAAAAAAAAKk/mRJNx8n90Pw/s1600/Obama%2Bna%2BGovernor.jpg)