Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba Mtakatifu Francis ziarani Marekani

Na Mwandishi wetu Swahilivilla.Blog
Baba Mtakatifu Francis jana aliwasili nchini Marekani kuanza ziara ya kwanza kuwahi kuifanya nchini humo maishani mwake. Pope Francis is scheduled to address Americans on the front lawn of the White House on Wednesday. Pictured above on Tuesday at the airport, being welcomed to the U.S. by President Obama and his family Baba Mtakatifu Papa Francis akiwa katika mapokezi chini ya  Rais Obama na familia yake Kwa kawaida marais wa Marekani huwapokea wageni rasmi Ikulu ya nchi hiyo, lakini alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kijeshi wa Andrews ulioko nje kidogo ya jiji la Washington, Baba Mtakatifu alipata heshima ya kulakiwa na Rais Obama na familia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Baba mtakatifu Francis asisitiza msamaha

Baba Mtakatifu Francis wa kanisa Katoliki ametangaza kwamba atawapa mapadri wote nafasi ya kuwasamehe wanawake walio toa mimba

 

10 years ago

BBCSwahili

Baba Mtakatifu Francis awasili Ecuador

Baba mtakatifu Francis amwasilini nchini Ecuador akiweka kituo cha kwanza katika ziara yake itakayodumu kwa siku saba.

 

9 years ago

Vijimambo

RAIS BARACK OBAMA AMUKARIBISHA BABA MTAKATIFU FRANCIS MJENGO MWEUPE, WASHINGTON, DC

Rais Barack Obama akimkaribisha Baba Mtakatifu Papa Francis kwenye ikulu ya Marekani asubuhi ya siku ya Jumatano Septemba 23, 2015. Papa Francis yupo Marekani kwa ziara ya siku 4 na aliwasili siku ya Jumanne Septemba 22, 2015 na kulakiwa na mwenyeji wake Mhe. Barack Obama.Papa Francis akifanya mazungumuzo na mwenyeji wake Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama.Papa Francis na mwenyeji wake Rais Barack Obama akiwa na mkewe Michelle Obama wakiwapuniwa wageni waliokua nje ya kiwanja cha Ikulu...

 

10 years ago

Habarileo

Baba Mtakatifu ajitabiria ukomo

Papa Fransis.AKIWA katika maadhimisho ya kuanza mwaka wa pili wa utume wake katika kuongoza Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis, ametoa kauli kuashiria kuwa huenda asidumu katika wadhifa huo kwa muda mrefu ujao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baba Mtakatifu:G20 kumbukeni maskini

Baba Mtakatifu Francis ametoa wito kwa Viongozi wa dunia kuwakumbuka maskini

 

10 years ago

Michuzi

mwana FA ziarani New York, Marekani

Msanii wa kizazi kipya Mwana FA (kushoto) wakipata chai katika moja ya mgahawa New York City kujaribu kukabiliana na kipupwe kinachopuliza jiji la wasiolala wengine katika picha kutoka kushoto ni Dj Rich Maka. NY Ebra na Salah Said.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Cuba ziarani Marekani

Rais wa Cuba amewasili mjini New York, ikiwa ni mara ya kwanza kuwasili nchini Marekani katika kipindi cha miaka 15 iliyopita.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN General Assembly) New York.
Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS BARACK OBAMA WA MAREKANI ZIARANI JIMBO LA ALABAMA

 Dullah Msangi (katikati) akiwa miongoni mwa wageni walioalikwa kusikiliza risala ya Rais Barack Obama katika jimbo la Birmingham, Alabama. Kadi maalum ya mwaliko wa kuhudhuria risala hiyo. Rais Barack Obama akiwasili ndani ya Air Force One katika jimbo la Alabama.Kwa habari zaidi bofya SOMA ZAIDI

Vifaa vinavyong'aa ni Electronic Countermeasures katika Air Force One. Vilionekana baada ya ndege hiyo kubwa na ya kipekee kutua katika uwanja wa Birmingham jimboni Alabama.Rais Barack Obama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani