mwana FA ziarani New York, Marekani
Msanii wa kizazi kipya Mwana FA (kushoto) wakipata chai katika moja ya mgahawa New York City kujaribu kukabiliana na kipupwe kinachopuliza jiji la wasiolala wengine katika picha kutoka kushoto ni Dj Rich Maka. NY Ebra na Salah Said.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziJopo la UN linaloongozwa na JK lakamilisha kazi yake New York, Jijini New York, Marekani
Jopo la Watu Mashuhuri la Umoja wa Mataifa la Kupendekeza Namna Bora ya Dunia Kukabiliana na Majanga ya Afya limekamilisha kazi yake wiki iliyopita jijini New York. Jopo hilo linaloongozwa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete lilikabidhiwa jukumu hilo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki moon tarehe 2 Aprili, 2015 na kupewa muda wa kuanzia Mei hadi Desemba 2015 kukamilisha kazi yake.
Jopo limefanya mikutano minne na kukutana na wadau mbalimbali wa afya zikiwemo taasisi za Umoja wa...
Jopo limefanya mikutano minne na kukutana na wadau mbalimbali wa afya zikiwemo taasisi za Umoja wa...
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rais wa Cuba ziarani Marekani
Rais wa Cuba amewasili mjini New York, ikiwa ni mara ya kwanza kuwasili nchini Marekani katika kipindi cha miaka 15 iliyopita.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s72-c/New%2BPicture%2B(2).bmp)
RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s1600/New%2BPicture%2B(2).bmp)
Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Baba Mtakatifu Francis ziarani Marekani
Na Mwandishi wetu Swahilivilla.Blog
Baba Mtakatifu Francis jana aliwasili nchini Marekani kuanza ziara ya kwanza kuwahi kuifanya nchini humo maishani mwake.
Baba Mtakatifu Papa Francis akiwa katika mapokezi chini ya Rais Obama na familia yake
Kwa kawaida marais wa Marekani huwapokea wageni rasmi Ikulu ya nchi hiyo, lakini alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kijeshi wa Andrews ulioko nje kidogo ya jiji la Washington, Baba Mtakatifu alipata heshima ya kulakiwa na Rais Obama na familia...
Baba Mtakatifu Francis jana aliwasili nchini Marekani kuanza ziara ya kwanza kuwahi kuifanya nchini humo maishani mwake.
![Pope Francis is scheduled to address Americans on the front lawn of the White House on Wednesday. Pictured above on Tuesday at the airport, being welcomed to the U.S. by President Obama and his family](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/09/23/12/6bkkGplZt-HSK1-3245930-Pope_Francis_is_scheduled_to_address_Americans_on_the_front_lawn-a-46_1443009057847.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-nHT-52rc8Kk/VRVhtpwIpcI/AAAAAAAAAJo/jN0QEDLGK0Q/s72-c/Dullah%2BMsangi.jpg)
RAIS BARACK OBAMA WA MAREKANI ZIARANI JIMBO LA ALABAMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nHT-52rc8Kk/VRVhtpwIpcI/AAAAAAAAAJo/jN0QEDLGK0Q/s1600/Dullah%2BMsangi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yuHusFufVYY/VRVhvL9PpHI/AAAAAAAAAJw/iGHlSEOE0S8/s1600/Invitation%2Bcard.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FFuX_VrEpE4/VRVhwpkAu0I/AAAAAAAAAJ4/QQM1rBzdxt4/s1600/Air%2Bforce%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TIGNavoj85s/VRVh3Owyq4I/AAAAAAAAAKI/vZY48oZ7HZk/s1600/Air%2Bforce%2B1%2Bwith%2Belectronic%2Bcountermeasures.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BBAvq6a7HhA/VRVpKPOahUI/AAAAAAAAAKk/mRJNx8n90Pw/s1600/Obama%2Bna%2BGovernor.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LZcHyspHyBg/VSuoNEPQrtI/AAAAAAAABLk/uemPb5z0dn8/s72-c/Dr.%2BSlaa%2BAlabama3.jpg)
KATIBU MKUU DK. WILLIBROD SLAA ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LZcHyspHyBg/VSuoNEPQrtI/AAAAAAAABLk/uemPb5z0dn8/s1600/Dr.%2BSlaa%2BAlabama3.jpg)
Ziara hii ya siku tisa ni mwaliko wa Gavana wa Jimbo la Indiana Mike Pence pamoja na taasisi mbalimbali za nchini humo ikiwemo vyuo vikuu kutokana na kutambua mchango wa kisiasa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE ZIARANI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN).
Rais Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano...
![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s1600/u1.jpg)
10 years ago
VijimamboWabunge waliopo ziarani Marekani watembelea Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa
10 years ago
Michuzi21 Feb
WAZIRI CHIKAWE NA MWANA FA WATEMBELEA UBALOZI WETU MAREKANI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania