Mswada mpya wa usalama Kenya
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ametia sahihi sheria mpya ya kukabiliana na maswala ya usalama nchini, ambapo maafisa wa usalama watasikiliza mawasiliano ya simu ya watu hata bila kuwaarifu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Waziri mpya wa usalama aapishwa Kenya
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Obama akerwa na sheria mpya ya usalama Kenya
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Mswada wa ugaidi Kenya wawakera wengi
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya
11 years ago
BBCSwahili23 Feb
Tutu amsihi Museveni kuhusu mswada mpya
10 years ago
StarTV03 Dec
Wakuu wa usalama watimuliwa Kenya.
Rais Uhuru Kenyatta amemwachisha kazi waziri wa usalama Joseph Ole Lenku na kumpendekeza waziri mpya wa usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi hio.
Wakati huohuo mkuu wa polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana na shinikizo dhidi yake afanye hivyo kwa kushindwa kukabiliana na utovu wa usalama nchini.
Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo na Bwana Kimaiyo alikubali ‘kustaafu’ mapema kutoka kwa majukumu yake kwa sababu za kibinafsi.
Rais alitoa...
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Viongozi wa AU wajadili usalama Kenya
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Usalama Kenya:Serikali yapata pigo.
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Sheria ya usalama yakatwa makali Kenya