Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mswada mpya wa usalama Kenya

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ametia sahihi sheria mpya ya kukabiliana na maswala ya usalama nchini, ambapo maafisa wa usalama watasikiliza mawasiliano ya simu ya watu hata bila kuwaarifu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mpya wa usalama aapishwa Kenya

Waziri mpya wa usalama nchini Kenya, Joseph Nkaissery leo ameapishwa rasmi na kuanza kutekeleza wajibu wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Obama akerwa na sheria mpya ya usalama Kenya

Marekani imeeleza kutoridhishwa na namna Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Usalama ulivyopitishwa nchini Kenya na namna Rais Uhuru Kenyatta alivyotoa maoni yake baada ya sheria hiyo kupita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada wa ugaidi Kenya wawakera wengi

Bunge la Kenya limepitisha mswada unaolenga kuwapa nguvu zaidi maafisa usalama kukabiliana na ugaidi pamoja na maswala mengine ya usalama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya

Wabunge wa Kenya wametofautiana pakubwa bungeni kufuatia mjadala mkali kuhusu mswaada tatanishi wa usalama kiasi cha kulazimisha bunge kusitisha kikao kwa muda

 

11 years ago

BBCSwahili

Tutu amsihi Museveni kuhusu mswada mpya

Desmond Tutu amuomba Rais Museveni afikirie tena mswada kuhusu wapenzi wa jinsia moja

 

10 years ago

StarTV

Wakuu wa usalama watimuliwa Kenya.

Rais Uhuru Kenyatta amemwachisha kazi waziri wa usalama Joseph Ole Lenku na kumpendekeza waziri mpya wa usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi hio.

Wakati huohuo mkuu wa polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana na shinikizo dhidi yake afanye hivyo kwa kushindwa kukabiliana na utovu wa usalama nchini.

Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo na Bwana Kimaiyo alikubali ‘kustaafu’ mapema kutoka kwa majukumu yake kwa sababu za kibinafsi.

Rais alitoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa AU wajadili usalama Kenya

Viongozi wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika wanakutana mjini Nairobi,nchini Kenya kujadili usalama barani

 

10 years ago

BBCSwahili

Usalama Kenya:Serikali yapata pigo.

Serikali ya Kenya imeshindwa katika jaribio lake la kupinga uamuzi wa mahakama kuhusu sheria mpya ya usalama iliozua tetesi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria ya usalama yakatwa makali Kenya

Mahakama kuu nchini Kenya imesimamisha kwa muda matumizi ya baadhi ya vipengee vya sheria ya usalama yenye utata ilioidhinishwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani