Obama akerwa na sheria mpya ya usalama Kenya
Marekani imeeleza kutoridhishwa na namna Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Usalama ulivyopitishwa nchini Kenya na namna Rais Uhuru Kenyatta alivyotoa maoni yake baada ya sheria hiyo kupita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Obama: Ziara itaathiri usalama Kenya ?
Je ziara ya rais wa Marekani Barack Obama itaathiri sera za usalama za Kenya ?.
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Mahakama yaharamisha sheria ya Usalama Kenya
Mahakama kuu nchini Kenya imeharamisha vipengee 10 vya sheria iliyolenga kukabili utovu wa usalama
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Sheria ya usalama yakatwa makali Kenya
Mahakama kuu nchini Kenya imesimamisha kwa muda matumizi ya baadhi ya vipengee vya sheria ya usalama yenye utata ilioidhinishwa
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mswada mpya wa usalama Kenya
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ametia sahihi sheria mpya ya kukabiliana na maswala ya usalama nchini, ambapo maafisa wa usalama watasikiliza mawasiliano ya simu ya watu hata bila kuwaarifu.
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Waziri mpya wa usalama aapishwa Kenya
Waziri mpya wa usalama nchini Kenya, Joseph Nkaissery leo ameapishwa rasmi na kuanza kutekeleza wajibu wake.
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Rais Obama akerwa na mauaji Marekani
Rais Barack Obama amesema mauaji kwa misingi ya ubaguzi wa rangi ni kitisho kwa demokrasia ya Marekani
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Obama:'Ebola ni tisho kwa usalama'
Rais wa Marekani Barack Obama, amelitaja janga la Ebola katika kanda ya Afrika Magharibi kuwa kama tisho la usalama wa kimataifa.
10 years ago
Vijimambo05 Oct
Idara ya usalama kwa Rais Obama yakumbwa na matatizo
Mfanyakazi wa idara ya usalama Marekani akizunguka nje ya uzio wa White House
Vyombo vya habari vya Marekani vinaripoti juu ya ukiukaji mwingine mkubwa wa usalama unaohusiana na jukumu la idara ya usalama yenye kumlinda Rais Barack Obama na familia yake.
Ripoti zinaeleza kwamba mlinzi wa kampuni moja binafsi ya usalama akiwa na bunduki alipanda kwenye lifti na bwana Obama wakati wa ziara yake kwenye kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa cha Marekani-CDC mjini Atlanta mwezi uliopita wakati...
Vyombo vya habari vya Marekani vinaripoti juu ya ukiukaji mwingine mkubwa wa usalama unaohusiana na jukumu la idara ya usalama yenye kumlinda Rais Barack Obama na familia yake.
Ripoti zinaeleza kwamba mlinzi wa kampuni moja binafsi ya usalama akiwa na bunduki alipanda kwenye lifti na bwana Obama wakati wa ziara yake kwenye kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa cha Marekani-CDC mjini Atlanta mwezi uliopita wakati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania