Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama akerwa na sheria mpya ya usalama Kenya

Marekani imeeleza kutoridhishwa na namna Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Usalama ulivyopitishwa nchini Kenya na namna Rais Uhuru Kenyatta alivyotoa maoni yake baada ya sheria hiyo kupita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama: Ziara itaathiri usalama Kenya ?

Je ziara ya rais wa Marekani Barack Obama itaathiri sera za usalama za Kenya ?.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yaharamisha sheria ya Usalama Kenya

Mahakama kuu nchini Kenya imeharamisha vipengee 10 vya sheria iliyolenga kukabili utovu wa usalama

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria ya usalama yakatwa makali Kenya

Mahakama kuu nchini Kenya imesimamisha kwa muda matumizi ya baadhi ya vipengee vya sheria ya usalama yenye utata ilioidhinishwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada mpya wa usalama Kenya

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ametia sahihi sheria mpya ya kukabiliana na maswala ya usalama nchini, ambapo maafisa wa usalama watasikiliza mawasiliano ya simu ya watu hata bila kuwaarifu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mpya wa usalama aapishwa Kenya

Waziri mpya wa usalama nchini Kenya, Joseph Nkaissery leo ameapishwa rasmi na kuanza kutekeleza wajibu wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama akerwa na mauaji Marekani

Rais Barack Obama amesema mauaji kwa misingi ya ubaguzi wa rangi ni kitisho kwa demokrasia ya Marekani

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:'Ebola ni tisho kwa usalama'

Rais wa Marekani Barack Obama, amelitaja janga la Ebola katika kanda ya Afrika Magharibi kuwa kama tisho la usalama wa kimataifa.

 

10 years ago

Vijimambo

Idara ya usalama kwa Rais Obama yakumbwa na matatizo

Mfanyakazi wa idara ya usalama Marekani akizunguka nje ya uzio wa White HouseMfanyakazi wa idara ya usalama Marekani akizunguka nje ya uzio wa White House
Vyombo vya habari vya Marekani vinaripoti juu ya ukiukaji mwingine mkubwa wa usalama unaohusiana na jukumu la idara ya usalama yenye kumlinda Rais Barack Obama na familia yake.
Ripoti zinaeleza kwamba mlinzi wa kampuni moja binafsi ya usalama akiwa na bunduki alipanda kwenye lifti na bwana Obama wakati wa ziara yake kwenye kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa cha Marekani-CDC mjini Atlanta mwezi uliopita wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani