Idara ya usalama kwa Rais Obama yakumbwa na matatizo
Mfanyakazi wa idara ya usalama Marekani akizunguka nje ya uzio wa White House
Vyombo vya habari vya Marekani vinaripoti juu ya ukiukaji mwingine mkubwa wa usalama unaohusiana na jukumu la idara ya usalama yenye kumlinda Rais Barack Obama na familia yake.
Ripoti zinaeleza kwamba mlinzi wa kampuni moja binafsi ya usalama akiwa na bunduki alipanda kwenye lifti na bwana Obama wakati wa ziara yake kwenye kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa cha Marekani-CDC mjini Atlanta mwezi uliopita wakati...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Obama:'Ebola ni tisho kwa usalama'
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Idara ya Usalama kuvunjwa,Argentina
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
Rais Kikwete apokea salamu za kheri kutoka kwa Rais Obama
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisoma salamu maalumu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais Barack Obama wa Marekani leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi Liberata Mulamula na ujumbe wake wa...
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Rais apokea salamu za pole toka kwa Rais Obama
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete mchana wa Jumatatu, Novemba 24, 2014 amepokea salamu za pole kutoka kwa Rais wa Marekani Mheshimiwa Barak Obama.
Katika salamu zake Rais Obama ameelezea kufurahishwa na taarifa kwamba Rais Kikwete anaendelea vyema kiafya baada ya kufanyiwa upasuaji kwa mafanikio na kuondoa tatizo la tezi dume alilokuwa nalo.
Rais Obama amesema katika salamu hizo kuwa alipata heshima kufanya ziara rasmi nchini Tanzania mwaka 2013, na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6LwrgI5RgFg/XtbL_oCpXFI/AAAAAAALsXU/Lx6jEvk5qlolMFHZLB7zQDBACBxNAlw2gCLcBGAsYHQ/s72-c/u1.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAKABIDHIWA NYUMBA ZA MAKAZI KWA MAOFISA NA ASKARI WA IDARA YA HIYO ENEO LA IYUMBU, JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6LwrgI5RgFg/XtbL_oCpXFI/AAAAAAALsXU/Lx6jEvk5qlolMFHZLB7zQDBACBxNAlw2gCLcBGAsYHQ/s1600/u1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wciZdB6toUU/XtbMBvFmsGI/AAAAAAALsXk/dD86z5b3JsYN35-icqqnUNwPp2U3fDTmgCLcBGAsYHQ/s1600/u2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s72-c/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO KWA MAKUBWA ALIYOFANYA KATIKA MIAKA 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s640/m1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-whQZtXyJguA/VcNIz0KoQnI/AAAAAAAHujY/t_ly0NsKyjw/s640/m2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama Barabarani
Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na...
9 years ago
Michuzi12 Nov
BARUA YA WAZI KWA RAIS DR. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA MDAU WA USALAMA BARABARAN
![](https://scontent-waw1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11215818_1645853955683038_3394542812123695413_n.jpg?oh=954015a4699df4509dcc0343f155dbec&oe=56EE4B6D)
Nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na matukio...
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?