Mswada wa ugaidi Kenya wawakera wengi
Bunge la Kenya limepitisha mswada unaolenga kuwapa nguvu zaidi maafisa usalama kukabiliana na ugaidi pamoja na maswala mengine ya usalama.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mswada mpya wa usalama Kenya
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya
10 years ago
Mtanzania03 Sep
JK ajadili ugaidi Kenya
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete amewasili jijini Nairobi, nchini Kenya, juzi usiku kuhudhuria mkutano maalumu wa wakuu wa nchi zinazounda Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), ambalo Tanzania ni mwanachama.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, mkutano huo wa siku moja uliofanyika jana, umejadili ugaidi na athari zake kwa nchi za Afrika.
Mkutano huo ulifanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha...
10 years ago
Habarileo22 Sep
Kenya wakumbuka ugaidi Westgate
KENYA imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa tukio la kutekwa na kushambuliwa na kundi linalodhaniwa kuwa la ugaidi katika maduka ya Westgate na kusababisha vifo vya watu takribani 67.
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watanzania washukiwa ugaidi Kenya
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Kenya na Uingereza kukakabili ugaidi
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Mshukiwa wa kike wa ugaidi asakwa-Kenya
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Je,Kenya inashinda vita dhidi ya ugaidi?
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Kesi ya ugaidi ya Westgate yaanza Kenya