Kenya na Uingereza kukakabili ugaidi
Je Kenya itaweka mkataba mpya na Uingereza kuruhusu wanajeshi wa Uingereza kuendelea kufanya mazoezi nchini humo?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Mtuhumiwa wa ugaidi akamatwa Uingereza
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
P.M:Tishio la ugaidi Uingereza ni kubwa
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Uingereza kuongeza fedha za kupambana na ugaidi
10 years ago
Mtanzania03 Sep
JK ajadili ugaidi Kenya
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete amewasili jijini Nairobi, nchini Kenya, juzi usiku kuhudhuria mkutano maalumu wa wakuu wa nchi zinazounda Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), ambalo Tanzania ni mwanachama.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, mkutano huo wa siku moja uliofanyika jana, umejadili ugaidi na athari zake kwa nchi za Afrika.
Mkutano huo ulifanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha...
10 years ago
Habarileo22 Sep
Kenya wakumbuka ugaidi Westgate
KENYA imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa tukio la kutekwa na kushambuliwa na kundi linalodhaniwa kuwa la ugaidi katika maduka ya Westgate na kusababisha vifo vya watu takribani 67.
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watanzania washukiwa ugaidi Kenya
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Mswada wa ugaidi Kenya wawakera wengi
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Mtanzania akamatwa kwa ugaidi Kenya
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Je,Kenya inashinda vita dhidi ya ugaidi?