Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya na Uingereza kukakabili ugaidi

Je Kenya itaweka mkataba mpya na Uingereza kuruhusu wanajeshi wa Uingereza kuendelea kufanya mazoezi nchini humo?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mtuhumiwa wa ugaidi akamatwa Uingereza

Mtuhumiwa wa ugaidi Moazzam Begg amekamatwa nchini Uingereza pamoja na wenzake watatu

 

10 years ago

BBCSwahili

P.M:Tishio la ugaidi Uingereza ni kubwa

Uingereza inasema matukio yanayoshuhudiwa nchini Iraq na Syria yameongeza tishio la mashambulizi ya kigaidi nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza kuongeza fedha za kupambana na ugaidi

Uingereza itaongeza maradufu uwekezaji katika usalama wa kimitandao, ili kukabiliana na ongezeko la hatari ya mashambulizi ya kigaidi.

 

10 years ago

Mtanzania

JK ajadili ugaidi Kenya

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete amewasili jijini Nairobi, nchini Kenya, juzi usiku kuhudhuria mkutano maalumu wa wakuu wa nchi zinazounda Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), ambalo Tanzania ni mwanachama.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, mkutano huo wa siku moja uliofanyika jana, umejadili ugaidi na athari zake kwa nchi za Afrika.

Mkutano huo ulifanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha...

 

10 years ago

Habarileo

Kenya wakumbuka ugaidi Westgate

KENYA imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa tukio la kutekwa na kushambuliwa na kundi linalodhaniwa kuwa la ugaidi katika maduka ya Westgate na kusababisha vifo vya watu takribani 67.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watanzania washukiwa ugaidi Kenya

Polisi nchini Tanzania inafanya mpango wa kuwasilliana na wenzao wa Kenya ili kujua hatima ya Watanzania waliokamatwa nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada wa ugaidi Kenya wawakera wengi

Bunge la Kenya limepitisha mswada unaolenga kuwapa nguvu zaidi maafisa usalama kukabiliana na ugaidi pamoja na maswala mengine ya usalama.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania akamatwa kwa ugaidi Kenya

Dar es Salaam. Vyombo vya usalama nchini Kenya, vinawashikilia wasichana watatu akiwamo Mtanzania, kwa kile kunachodaiwa kutaka kujiunga na kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,Kenya inashinda vita dhidi ya ugaidi?

Kikosi cha kupambana na ugaidi kinadaiwa kunyanyasa na kuuwa vijana huku wengine wakitoweka mikononi mwa polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani