Mtanzania akamatwa kwa ugaidi Kenya
Dar es Salaam. Vyombo vya usalama nchini Kenya, vinawashikilia wasichana watatu akiwamo Mtanzania, kwa kile kunachodaiwa kutaka kujiunga na kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Somalia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Mtanzania anayetuhumiwa kwa ugaidi Kenya kizimbani
10 years ago
VijimamboYULE MWANAFUNZI MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA UGAIDI KENYA ANA STORI NDEFU
Mtanzania aliyekamatwa Kenya akidaiwa kufanya ugaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa uliosababisha vifo vya watu 148, Rashid Charles Mberesero (20) ni mwanafunzi wa kidato cha tano, lakini uongozi wa shule anayosoma umesema alitoweka shuleni hapo kati ya Desemba na Novemba 2014.
Habari zilizothibitishwa na wazazi wake ni kuwa mwanafunzi huyo anasoma katika Shule ya Sekondari ya Bihawana, Dodoma, baada ya kufaulu katika Shule ya Sekondari Gonja mkoani Kilimanjaro. Mama mzazi wa kijana huyo,...
10 years ago
Vijimambo09 Apr
UNDANI WA MTANZANIA ALYENASWA KWENYE UGAIDI WA KENYA "GARRISSA ATTACK"
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Mtuhumiwa wa ugaidi akamatwa Uingereza
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mshukiwa wa ugaidi mkenya akamatwa TZ
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Mtanzania akamatwa na kilo 74 za ‘unga’ India
11 years ago
Habarileo19 Jun
Wabunge:Ugaidi Kenya hatari kwa utalii
MJADALA wa Bajeti Kuu ya Serikali umeendelea kushika kasi bungeni mjini hapa ambapo wabunge wameitaka Serikali kuwa makini na mashambulizi ya kigaidi yanayotokea nchini Kenya kwa vile yanaweza kuathiri sekta ya utalii nchini. Mbali ya onyo hilo wabunge pia wameitaka Serikali kuangalia uwezekano wa kuwatoza kodi wamiliki wa nyumba za kupanga, kama chanzo kipya cha kuongeza mapato yake.
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mwanamke Mtanzania 'adaka' Kenya kwa 'unga’
MWANAMKE raia wa Tanzania, Joyce Mhonja Mosendi (38) anashikiliwa na Polisi kituo cha Isebania Wilaya ya Kurya West nchini Kenya akituhumiwa kukutwa na unga uliokuwa umepakiwa katika pakiti zaidi ya kumi na kuwekwa kwenye ndoo ya plastiki uliovushwa kwa pikipiki kuingia nchini humo kutoka Sirari, upande wa Tanzania.