Mtanzania akamatwa na kilo 74 za ‘unga’ India
Maofisa uhamiaji wa Uwanja wa Ndege wa Mumbai, India wamemkamata Mtanzania, Fatma Chambo Basil akiwa na kilo 74 za dawa za kulevya aina ya methaqualone alizokuwa akizisafirisha kuleta nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Mwanamke Mtanzania adakwa na kilo 74 za unga
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watatu wanaswa na kilo 8 za ‘unga’
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Mkazi wa Dar Es Salaam akamatwa na Jeshi la Polisi Mbeya akiwa na meno ya Tembo kilo 8.5
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.
Na Emanuel Madafa, Mbeya
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia Lukas Wambura (38) Mkazi wa Banana – Dar es salaam mwenye shahada ya dharura ya kusafiria ab-10044029 akiwa na vipande vinne vya meno yadhaniwayo kuwa ya tembo vyenye uzito wa kilo 8.4 yenye thamani ya dola za kimarekani 30,000, sawa na tshs 64,140,000/=.
Tukio hilo limetokea Novemba 30 -2015 majira ya saa12 jioni katika eneo la custom – mpakani tunduma, , wilaya ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmNMbKn5NzTHIJvVsmB-NaXXdTwwpTF2rUMmxtHAAWM4p-yT-c3CzdXtl4GsGcIYjJXTjHe3YesBlheLpcJFn8wA/Mwalimu.jpg?width=650)
MWALIMU SEKONDARI AKAMATWA NA ‘UNGA’
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mwanamke Mtanzania 'adaka' Kenya kwa 'unga’
MWANAMKE raia wa Tanzania, Joyce Mhonja Mosendi (38) anashikiliwa na Polisi kituo cha Isebania Wilaya ya Kurya West nchini Kenya akituhumiwa kukutwa na unga uliokuwa umepakiwa katika pakiti zaidi ya kumi na kuwekwa kwenye ndoo ya plastiki uliovushwa kwa pikipiki kuingia nchini humo kutoka Sirari, upande wa Tanzania.
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Mtanzania akamatwa kwa ugaidi Kenya
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Aliyebaka mtawa India akamatwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9nMo*2PoeNvM8ZMrvgOVQ*bsnVi2subCuT*CnadrrkQ*ry46A8P8HFbibwnjYZwC3WSMmnYhXl6QNoF2QZCvrCP/IMG20150113WA0015.jpg?width=650)
MWANAMKE AKAMATWA KWA UNGA WA BIL.2 NYUMBANI KWA MBUNGE
10 years ago
Bongo506 Feb
Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)