Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyebaka mtawa India akamatwa

Polisi nchini India wamemtia mbaroni mtu aliyedaiwa kubaka mtawa mmoja wa Kanisa Katoliki Magharibi mwa Bengal.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Aliyebaka na kuua achiwa huru nchini India

Mfungwa mchanga zaidi katika genge la wabakaji waliopatikana na hatia ya kubaka na kuua mwanamke mmoja mwaka wa 2012 ameachiliwa huru.

 

11 years ago

BBCSwahili

3 hatiani kwa kumbaka mtawa India

Mahakama nchini India imewapata na hatia watu 3 waliombaka mtawa wa kikatoliki wakati wa ghasia za kupinga dini ya kikristo mwaka 2008

 

9 years ago

Mwananchi

Mtanzania akamatwa na kilo 74 za ‘unga’ India

Maofisa uhamiaji wa Uwanja wa Ndege wa Mumbai, India wamemkamata Mtanzania, Fatma Chambo Basil akiwa na kilo 74 za dawa za kulevya aina ya methaqualone alizokuwa akizisafirisha kuleta nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtawa amtusi mjumbe wa UN

Kiongozi huyo wa kibudha Ashin Wirathu alimtusi mjumbe wa Umoja wa Mataifa aliyekuwa anazuru Myanmar kwa kumuita ''Kahaba'' na ''Mbwa''

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtawa mwimbaji atoa kibao

Mwimbaji mtawa aliyeshinda tuzo la The voice la Italia atoa wimbo mpya unaofanana na ule wa mwimbaji mtajika wa Madonna kwa jina 'Like a Virgin'.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtawa aagwa, dereva asimulia

>Mark Mwarabu, dereva aliyekuwa akimwendesha sista wa Kanisa Katoliki, Crecensia  Kapuri aliyeuawa na majambazi wa Kanisa Katoliki, amesema mbinu za kijeshi zilimwokoa katika tukio hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwalimu apigwa makofi na mtawa

Mwalimu mmoja wa somo la kiingereza amepigwa makofi na mtawa baada ya kutoa kiti chake katika treni kwa wanawake wawili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtawa anyakua ushindi wa uimbaji -Italia

Mtawa mmoja kutoka Italia ambaye alipata umaarufu katika mtandao wa kijamii ameshinda shindano la kuimba nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

KESI: Watuhumiwa wa mauaji ya Mtawa kizimbani

>Watuhumiwa wa mauaji ya Mtawa Cresencia Kapuri (50) wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Parokia ya Makoka, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakihusishwa na wizi wa pesa katika Benki ya Barclays.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani