Watatu wanaswa na kilo 8 za ‘unga’
Kitengo cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimewakamata watu watatu katika matukio tofauti wakituhumiwa kukutwa na kilo 8.6 za dawa za kulevya zilizowekwa kwenye mabegi la nguo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Mwanamke Mtanzania adakwa na kilo 74 za unga
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Mtanzania akamatwa na kilo 74 za ‘unga’ India
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Mabinti 12 wanaswa na ‘unga’ ndani ya siku 30
10 years ago
Bongo506 Feb
Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200617-WA0067.jpg)
KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200617-WA0067.jpg)
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTYIRj17r-pkgs69p3EYzIukSbbgFRM8yVcYLoe42uTujiS*WsMCQ14Kzk3vZuUne7ccW0Lb46MBb6XNCpUywQ-/unga.jpg?width=750)
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Wakamatwa wakisafirisha mirungi kilo 30
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Kilo 10 ya vilipuzi zilitumika Tunisia
11 years ago
Habarileo09 Jan
Kilo 65 za cocaine zakamatwa KIA
DAWA za kulevya aina ya cocaine zaidi ya kilo 65, zimekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mwaka jana. Mbali ya kukamatwa kwa dawa hizo katika kipindi hicho cha mwaka mmoja, pia wafanyakazi wa uwanja huo wa Kampuni ya Kadco, walikamatwa na bangi yenye uzito wa kilo 7.7 iliyokuwa ikisafirishwa kwenda nchini Uturuki.