Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabinti 12 wanaswa na ‘unga’ ndani ya siku 30

Licha ya kampeni kubwa ya kupambana na kuzuia usafirishaji, uuzaji na matumizi ya dawa za kulevya nchini, bado Watanzania wameendelea kufanya biashara hiyo na katika kipindi cha siku 30 mabinti 12 wamekamatwa wakisafirisha dawa hizo ndani na nje ya nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watatu wanaswa na kilo 8 za ‘unga’

Kitengo cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimewakamata watu watatu katika matukio tofauti wakituhumiwa kukutwa na kilo 8.6 za dawa za kulevya zilizowekwa kwenye mabegi la nguo.

 

10 years ago

Mwananchi

Siku za ‘wauza unga’ China zahesabika

Siku za wasafirishaji na wauzaji wa dawa za kulevya kwenda China sasa zinahesabika baada ya Jeshi la Polisi na kitengo chake cha Dawa za Kulevya kubaini majina ya vigogo wanaofanya shughuli hiyo na kusema imeanza kuwashughulikia kimyakimya.

 

10 years ago

Mwananchi

Simulizi ya Hashim Zungu, alivyobeba ‘unga’ kwa siku 55 tumboni

Ama kwa hakika kila binadamu hufanya makosa, lakini baadaye hujuta. Kama waswahili wasemavyo; majuto ni mjukuu, ndivyo ilivyokuwa kwa Hashim Hashim, maarufu kwa jina la Hashim Zungu.

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 20 ndani ya Ikulu JPM vs JK

Kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo Rais John Magufuli katika muda wa siku 20 inaonekana kubwa na ya aina yake lakini hivyo ndivyo ilikuwa kwa mtangulizi wake, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, miaka 10 iliyopita.     

 

10 years ago

Mwananchi

Siku saba za urais ndani ya CCM

Ni wiki ngumu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM). Ndivyo unavyoweza kusema kwani chama hicho kinachotawala kitafanya vikao vyake vya juu vitakavyohitimishwa kwa kumpata mgombea wake wa urais.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeya City kucheza na vigogo ndani ya siku 11

Mbeya City itabidi ifanye kazi ya ziada kuhakikisha inabaki kwenye Ligi Kuu Bara kwani inakutana na mechi tatu ngumu ndani ya siku 11.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali tatu vifo 40 ndani ya siku sita

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Mohamed MsangiMSHITUKO wa matukio ya mfululizo ya ajali, umeendelea kugubika nchi, baada ya watu 20 kupoteza maisha katika ajali ya basi dogo aina ya Toyota Hiace, iliyotokea jana wilayani Rungwe mkoani Mbeya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watawa wakwama ndani ya lifti kwa siku 3

Watawa wawili wameokolewa kutoka kwa lifti mjini Rome baada ya kukwama kwa siku tatu bila chakula wala maji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani