Ajali tatu vifo 40 ndani ya siku sita
MSHITUKO wa matukio ya mfululizo ya ajali, umeendelea kugubika nchi, baada ya watu 20 kupoteza maisha katika ajali ya basi dogo aina ya Toyota Hiace, iliyotokea jana wilayani Rungwe mkoani Mbeya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Aug
NEC kutangaza matokeo urais ndani ya siku tatu
10 years ago
Habarileo15 Apr
Ajali barabarani zaua 969 ndani ya siku 102
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiungana na Watanzania kuomboleza vifo vya watu 19 walioteketea katika ajali ya basi lililoungua moto baada ya kugongana na lori juzi mjini Morogoro, imefahamika kuwa, ajali za barabarani zimegharimu maisha ya watu 969 kati ya Januari Mosi na Aprili 12 mwaka huu.
9 years ago
MichuziAJALI NA VIFO VITOKANAVYO NA AJALI MKOA WA DAR ES SALAAM VYAPUNGUA
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx22fG3cXB*ZbymlmGitetRHnt6nhWZua62TNkuf19zchxWgvx4qw9YRabOHn7k25Ye9uHQnwnB45-hvLY4GB6sbF/Padri.jpg)
VILIO VYATAWALA VIFO VYA PADRI WANAFUNZI SITA
10 years ago
MichuziROBO TATU YA VIFO VITOKANAVYO VYA UZAZI VIMEPUNGUZA
MALENGO ya Milenia ya Nne na Tano yamefikiwa kutokana na mkakati wa kupunguza vifo vya Mama na mtoto nchini vinavyotokana na uzazi kwa robo tatu na kuweza kufikia wakina mama 193 kwa vizazi hai 100,000.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid wakati akitangaza kuwepo kwa Maadhimisho ya Siku ya Wakunga Duniani ambayo yatafanyika kesho katika viwanja Mkendo mkoani Mara.
Amesema tafiti zilizofanywa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
‘Kupunguza vifo vya wajawazito hakuhitaji serikail tatu’
MKURUGENZI wa Taasisi ya Evidence for Action (E4A), Graig Ferla, amesema suala la vifo vya wajawazito na watoto wachanga nchini halihitaji serikali tatu. Akizungumza na wahariri na waandishi wa habari...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Vifo vya watoto, wajawazito vitazamwe kwa jicho la tatu
KUTOKANA na matatizo yanayoikabili sekta ya afya ikiwemo huduma zote stahiki kwa mjamzito, watoto walio chini ya miaka mitano na wazee wenye umri zaidi ya miaka 60 ni wakati muafaka...