Simulizi ya Hashim Zungu, alivyobeba ‘unga’ kwa siku 55 tumboni
Ama kwa hakika kila binadamu hufanya makosa, lakini baadaye hujuta. Kama waswahili wasemavyo; majuto ni mjukuu, ndivyo ilivyokuwa kwa Hashim Hashim, maarufu kwa jina la Hashim Zungu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Feb
zungu la unga ladakwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere dar es salaam
![](https://3.bp.blogspot.com/-9DbLzcZqnzw/UwtyFbb9D9I/AAAAAAAAPjU/s_AL9XyaXVY/s640/Alexamdrios+Atanasios.jpg)
Habari zinasema mzungu huyo alikamatwa wakati wa upekuzi, akijiandaa kupanda ndege ya Swiss air kueleke jijini Zurich, Uswisi.
Madawa hayo yalikutwa yakiwa yamefichwa kwenye “sakafu” ya begi lake baada ya mitambo ya kisasasa yaupekuzi, kugundua kuwa kulikuwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RmDNQyY1DGY/XumvVpfli-I/AAAAAAALuKU/F3P2-6rAj7w_iFn5HlLZoaN3AYZ0KN9yQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-2-800x438.jpg)
TAMKO LA WAZIRI ZUNGU - SIKU YA KUPAMBANA KUENEA KWA JANGWA NA UKAME
![](https://1.bp.blogspot.com/-RmDNQyY1DGY/XumvVpfli-I/AAAAAAALuKU/F3P2-6rAj7w_iFn5HlLZoaN3AYZ0KN9yQCLcBGAsYHQ/s640/PIC-2-800x438.jpg)
5 years ago
MichuziHashim Salum Hashim awa Kada wa 24 kuwania kiti cha Rais wa Zanzibar.
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Hashim Salum Hashim (pichani) amekuwa Kada wa 24 kuchukua fomu ya kupata ridhaa ya chama chake ya kuwa Rais wa Zanzibar.
Hashim Salum Hashim aliwasili majira ya saa Sita mchana na kisha kuchukua fomu hiyo na baadae alioata kuongea na waandishi wa Habari.
Akizungumza alisema:
"Nimekuwa Mwana CCM kwa muda mrefu na kwa miaka 15 nimeweza kuwa katika nyadhifa za kichama hadi sasa ikiwemo Mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM...
5 years ago
MichuziTAMKO LA WAZIRI ZUNGU KUHUSU SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
TAMKO LA MHE. MUSSA AZZAN ZUNGU (MB.), WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MUUNGANO NA MAZINGIRA JUU YA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
Ndugu Wananchi,Kila tarehe 5 Juni, nchi yetu...
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Mabinti 12 wanaswa na ‘unga’ ndani ya siku 30
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Siku za ‘wauza unga’ China zahesabika
10 years ago
GPLKADA WA CHADEMA AUAWA KWA KUPIGWA MSHALE WA TUMBONI
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Simulizi ya Kassim Kayira : Akaa nyumbani siku tatu tu baada ya kuacha kazi! 8
MBIO za kusaka mafanikio maishani ni ndefu mno. Inakuhitaji kuwa mpambanaji haswa, tena usiyekata tamaa mapema.
Kassim Kayira ni mmoja wa watu waliobadili maisha yao kwa kupambana. Safari yake ya kuyafikia maisha anayoishi kwa sasa, ilikuwa ngumu lakini kwa sababu ya uvumilivu, leo anaishi maisha mazuri. Anapata kila kitu, anafurahia utajiri na umaarufu mkubwa.
Wiki iliyopita, aliishia kusimulia jinsi alivyoamua kuacha kazi katika shirika la utangazaji nchini Rwanda, baada ya kuhamishwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s72-c/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
MSAADA MKUBWA UNAHITAJIKA KWA DADA ELIZA ILI AWEZE KUFANYIWA UPASUAJI WA UVIMBE TUMBONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s640/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
Akizunguma na waandishi wa habari mjini hapa Dodoma, alisema kuwa uvimbe huo ambao umekuwa ukiongezeka kila siku umekuwa kikwazo kwake katika kutekeleza majukumu yake ya kujipatia kipato.
Alisema kuwa uvumbe huo unaotokana na yeye kufanyiwa upasuaji wa utumbo aliofanyiwa miaka miwili...