Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNDANI WA MTANZANIA ALYENASWA KWENYE UGAIDI WA KENYA "GARRISSA ATTACK"

Mtuhumiwa ugaidi Kenya alitoweka shuleni Dodoma Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Bihawana mkoani Dodoma, Joseph Mbilinyi akizungumza na mwandishi wa Mwananchi kuhusu mwanafunzi wa kidato cha tano shuleni hapo, Rashid Mberesoro (kulia) ambaye anahusishwa na tuhuma za ugaidi nchini Kenya. Picha na Sharon Sauwa       Kwa ufupiHabari zilizothibitishwa na wazazi wake ni kuwa mwanafunzi huyo anasoma katika Shule ya Sekondari ya Bihawana,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania akamatwa kwa ugaidi Kenya

Dar es Salaam. Vyombo vya usalama nchini Kenya, vinawashikilia wasichana watatu akiwamo Mtanzania, kwa kile kunachodaiwa kutaka kujiunga na kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Somalia.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania anayetuhumiwa kwa ugaidi Kenya kizimbani

>Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.

 

10 years ago

Vijimambo

YULE MWANAFUNZI MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA UGAIDI KENYA ANA STORI NDEFU


Mtanzania aliyekamatwa Kenya akidaiwa kufanya ugaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa uliosababisha vifo vya watu 148, Rashid Charles Mberesero (20) ni mwanafunzi wa kidato cha tano, lakini uongozi wa shule anayosoma umesema alitoweka shuleni hapo kati ya Desemba na Novemba 2014.
Habari zilizothibitishwa na wazazi wake ni kuwa mwanafunzi huyo anasoma katika Shule ya Sekondari ya Bihawana, Dodoma, baada ya kufaulu katika Shule ya Sekondari Gonja mkoani Kilimanjaro. Mama mzazi wa kijana huyo,...

 

10 years ago

Mtanzania

JK ajadili ugaidi Kenya

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete amewasili jijini Nairobi, nchini Kenya, juzi usiku kuhudhuria mkutano maalumu wa wakuu wa nchi zinazounda Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), ambalo Tanzania ni mwanachama.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, mkutano huo wa siku moja uliofanyika jana, umejadili ugaidi na athari zake kwa nchi za Afrika.

Mkutano huo ulifanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watanzania washukiwa ugaidi Kenya

Polisi nchini Tanzania inafanya mpango wa kuwasilliana na wenzao wa Kenya ili kujua hatima ya Watanzania waliokamatwa nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya na Uingereza kukakabili ugaidi

Je Kenya itaweka mkataba mpya na Uingereza kuruhusu wanajeshi wa Uingereza kuendelea kufanya mazoezi nchini humo?

 

10 years ago

Habarileo

Kenya wakumbuka ugaidi Westgate

KENYA imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa tukio la kutekwa na kushambuliwa na kundi linalodhaniwa kuwa la ugaidi katika maduka ya Westgate na kusababisha vifo vya watu takribani 67.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchawi mtanzania jela miaka 3 Kenya

Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na kumibia shilingi milioni tisa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa kike wa ugaidi asakwa-Kenya

Kenya imetoa zawadi ya $20,000 kwa mtu yeyote atakaye toa habari za kukamatwa kwa mshukiwa mmoja wa ugaidi wa kike Rukia Faraj

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani