JK ajadili ugaidi Kenya
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete amewasili jijini Nairobi, nchini Kenya, juzi usiku kuhudhuria mkutano maalumu wa wakuu wa nchi zinazounda Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), ambalo Tanzania ni mwanachama.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, mkutano huo wa siku moja uliofanyika jana, umejadili ugaidi na athari zake kwa nchi za Afrika.
Mkutano huo ulifanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watanzania washukiwa ugaidi Kenya
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Kenya na Uingereza kukakabili ugaidi
10 years ago
Habarileo22 Sep
Kenya wakumbuka ugaidi Westgate
KENYA imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa tukio la kutekwa na kushambuliwa na kundi linalodhaniwa kuwa la ugaidi katika maduka ya Westgate na kusababisha vifo vya watu takribani 67.
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Vita vya Kenya dhidi ya ugaidi
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Mswada wa ugaidi Kenya wawakera wengi
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Kesi ya ugaidi ya Westgate yaanza Kenya
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Mtanzania akamatwa kwa ugaidi Kenya
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Ugaidi Kenya waathiri utalii Tanzania
MATUKIO ya ugaidi yanayoendelea nchini Kenya yameathiri kwa kiwango kikubwa sekta ya utalii nchini. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Dk. Ladislaus Komba,...
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Mshukiwa wa kike wa ugaidi asakwa-Kenya