Mtanzania anayetuhumiwa kwa ugaidi Kenya kizimbani
>Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Mtanzania akamatwa kwa ugaidi Kenya
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ekr8W1umcQw/VSYmEwmfNUI/AAAAAAAAaNI/WPZJQnsk1yg/s72-c/3.jpg)
YULE MWANAFUNZI MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA UGAIDI KENYA ANA STORI NDEFU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ekr8W1umcQw/VSYmEwmfNUI/AAAAAAAAaNI/WPZJQnsk1yg/s640/3.jpg)
Mtanzania aliyekamatwa Kenya akidaiwa kufanya ugaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa uliosababisha vifo vya watu 148, Rashid Charles Mberesero (20) ni mwanafunzi wa kidato cha tano, lakini uongozi wa shule anayosoma umesema alitoweka shuleni hapo kati ya Desemba na Novemba 2014.
Habari zilizothibitishwa na wazazi wake ni kuwa mwanafunzi huyo anasoma katika Shule ya Sekondari ya Bihawana, Dodoma, baada ya kufaulu katika Shule ya Sekondari Gonja mkoani Kilimanjaro. Mama mzazi wa kijana huyo,...
10 years ago
Vijimambo09 Apr
UNDANI WA MTANZANIA ALYENASWA KWENYE UGAIDI WA KENYA "GARRISSA ATTACK"
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2679916/highRes/988165/-/maxw/600/-/y42c9t/-/mwalimu_ugaidi.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Watu 17 Dar kizimbani kwa ugaidi
11 years ago
Mwananchi24 Jul
SHERIA: Watu sita wapandishwa kizimbani kwa ugaidi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3Vgfiq-3vlG-w4UVnMP1zH-mny-HsZeXAodcnMN677M1HaNyBRZ-x85lDlD2abcLoVcBm8YaWn-MousulAry-RA2/mbongo.jpg)
MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA SHAMBULIO LA GARRISA KUPANDISHWA KIZIMBANI LEO
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya
11 years ago
Habarileo19 Jun
Wabunge:Ugaidi Kenya hatari kwa utalii
MJADALA wa Bajeti Kuu ya Serikali umeendelea kushika kasi bungeni mjini hapa ambapo wabunge wameitaka Serikali kuwa makini na mashambulizi ya kigaidi yanayotokea nchini Kenya kwa vile yanaweza kuathiri sekta ya utalii nchini. Mbali ya onyo hilo wabunge pia wameitaka Serikali kuangalia uwezekano wa kuwatoza kodi wamiliki wa nyumba za kupanga, kama chanzo kipya cha kuongeza mapato yake.
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mwanamke Mtanzania 'adaka' Kenya kwa 'unga’
MWANAMKE raia wa Tanzania, Joyce Mhonja Mosendi (38) anashikiliwa na Polisi kituo cha Isebania Wilaya ya Kurya West nchini Kenya akituhumiwa kukutwa na unga uliokuwa umepakiwa katika pakiti zaidi ya kumi na kuwekwa kwenye ndoo ya plastiki uliovushwa kwa pikipiki kuingia nchini humo kutoka Sirari, upande wa Tanzania.