Uingereza kuongeza fedha za kupambana na ugaidi
Uingereza itaongeza maradufu uwekezaji katika usalama wa kimitandao, ili kukabiliana na ongezeko la hatari ya mashambulizi ya kigaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Mikakati ya kupambana na ugaidi Australia
Waziri mkuu wa Australia Tony Abbot ametangaza mikakati mipya ya kupambana na ugaidi
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mataifa ya Kiislamu 34 kupambana na ugaidi
Saudi Arabia imetangaza kuundwa kwa muungano wa mataifa ya Kiislamu 34 utakaopambana na tishio la ugaidi kote duniani
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
P.M:Tishio la ugaidi Uingereza ni kubwa
Uingereza inasema matukio yanayoshuhudiwa nchini Iraq na Syria yameongeza tishio la mashambulizi ya kigaidi nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Kenya na Uingereza kukakabili ugaidi
Je Kenya itaweka mkataba mpya na Uingereza kuruhusu wanajeshi wa Uingereza kuendelea kufanya mazoezi nchini humo?
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Mtuhumiwa wa ugaidi akamatwa Uingereza
Mtuhumiwa wa ugaidi Moazzam Begg amekamatwa nchini Uingereza pamoja na wenzake watatu
10 years ago
Habarileo18 Nov
Serikali yaona haja ya kuongeza fedha CDCF
SERIKALI imekiri kuwa kuna haja ya kuongeza fedha za Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo (CDCF) kutokana na faida na manufaa yake kwa jamii.
11 years ago
MichuziWAZIRI NYALANDU AKUTANA NA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI UINGEREZA KUFAFANUA JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (kushoto) akihojiwa na Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha CCTV Zhang He jijini London ambapo alipata nafasi ya kuzungumzia juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali katika Vita Dhidi ya Ujangili nchini na Changamoto zinazohitaji kuungwa mkono na Jumuiya ya Kimataifa.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akipongezwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Wanyamapori Paul Sarakikya mara baada ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania